Elections 2010 Kikwete Kuzomewa na Kupigwa mawe?


Mkuu nakubaliana na wewe watanganyika ni watu hewala. wanaibiwa kura na wanajua kabisa kuwa wameibiwa, kinachofanyika ni FFU wanawapiga mabomu na virungu wanakimbilia ndani, wachache wanakamatwa na baadae wanasamehewa wanafurahia kwelikweli. Vyama vingi vya siasa ni succus ya CCM wewe ukigoma wao unasikia sisi tunakubali. Zanzibar vyama imara ni CCM na CUF hapo ndipo unapoona kuwa mafahali wawili lazima pachimbike. Wanasiasa wetu kinawaua njaa akioneshwa bulungutu tu mate nje anasahau kama yeye ni mpinzani.


Mkuu upo sahihi kila siku mwizi anapokuwa anaiba na watu wanamuangalia tu anaona kuwa haibi bali anachukue kilicho haki yake. Ila akipata mkong'oto huwa anakuwa makini sana kuhakikisha ama haonekani kama kaiba au anaacha wizi kwa bara hili bado ni ndoto
 

Nakubaliana na wewe tu kwa sababu unaujua ukweli jinsi ulivo ila nakupinga kwa kuendelea kusimamia mtazamo huo wakati ukijua kabisa una wajibu wa kuleta mabadiliko katika fikra za watanzani wanaoendelea kuaimini kuwa tanzania bila ccm haiwezekani. Ni nani ambae aliyewahi kuwaza kwamba dola ya roma ingeporomoka enzi za utawala wake? Ni wachache tu waliowaza hivyo ila katika uchache wao waliyafanyia kazi mawazo yao hadi kuidondsha dola kubwa ya roma. Suluhisho si kuendelea kusifia udhalimu huo bali kuchukua hatua madhubuti kubadili mtazamo wa watu, na hii haihitaji umwagaji damu. Amini nakwambia hata ndani ya usalama wa taifa, polisi, jeshi, tume ya uchaguzi na hata serikalini wapo wasiomkubali kikwete hata kidgo. Chukua hatua.
 
Kwa nini wampige mawe? hakuna sababu wala ya kumzomea, wamnyime kura zao wakitaka inatosha.

Kupigwa mawe ndo inamfaa, akinyimwa kura wataiba kwa hiyo haitasaidia. Mi nimeipenda hiyo ya Mbeya kama watanzania wote tungeweza kufanya hivyo ingekuwa bomba mbaya.
 
Ukiona watu wanakuwa kama Interahamwe ujue hamna akili.Unahamasisha watu wampige mawe Kikwete,unajua hicho ni chanzo cha kuanzisha vurugu?
Unadhani hisia zako zinaishia hapo?Hujui kama kuna watu watakaotaka kukurudishia hapo mawe?Fikiria kabla ya kuandika utumbo wako.Haiwezekani kuleta sera za Interahamwe hapa.
 


Nitampiga mawe na kumzomea kwenye polling ballots hapo OCT 31
 

wakati umefika mwaka huu haziibiwi kura mim nitakuwa tayari kwa lolote
 

Ni vigumu kuwazuia watu kuzomea, hali ni ngumu ya maisha, Mbeya walishindwa kujizuia si kuzomea tu, wakatupa mawe. Mimi natoa ushauri wa upendo, ili kuzuia hali hiyo kutokea ni bora raia wema wa nchi hii wasihudhurie mikutano ya CCM, ili kudumisha amani na utulivu, vinginevyo watazomea tu.
 
I dont think kama atapigwa mawe badala yake atapokelewa kwa shangwe as usual kwani hakuna sababu ya msingi ya mtanzania wa kawaida kumpiga mawe especially pale ambapo amejitahidi kuwapa matumaini watanzania... japo kwa mtu mmoja mmoja unaweza usione maisha bora aliyoyaahidi coz maisha yanapanda kila kukicha na hata akijitahidi kuwapa nafuu bado hali ya soko huria itawafanya wajanja wachache wawaumize watanzania wengi.
........KUZOMEWA???? well,hiyo nayo itakuwa ngumu kwa mtazamo wangu coz he didnt do that bad..so kama utaniuliza if atazomewa au kupigwa mawe mi nadhani watanzania wenye busara ya kupembua mambo hawatamzomea au kumpiga mawe..ikitokea hivyo basi ujue ni watu wachache wenye kuongozwa na itikadi za kisiasa watafanya hivyo kwa manufaa yao binafsi na vyama vyao na si kwa manufaa ya wanajamii wenzao kwa ajili ya kampeni tu.
ni hayo tu.
 
Assume ....,

Just assume ... mawe yamerushwa na mwitikio ulikuwa ni mkubwa!!

So?

That means what?

Kikweti is a good person ... He doesnt deserve those stones!

But what suprise me is why does he "GIVE IN" and yield to the "TYRANTS" who are controling him and the country down the bottomless pit?

Mr President dont you see that can be a bad fate to you?

Dont you think this can .... drive anybody to re think .... of throwing those stones ....!!
 

WATU wamechoka na maisha DR Dr Kikwete atapata wakati mgumu katika kampini zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…