Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 164
rais atakuwa arusha kesho kumpokea mkulu wa botswana ambaye atawasiri mapema ya keshoAna mwaliko wa kutembelea Brazil. Halafu atapitia tena Marekani.
Habari ndiyo hiyooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
rais atakuwa arusha kesho kumpokea mkulu wa botswana ambaye atawasiri mapema ya keshoAna mwaliko wa kutembelea Brazil. Halafu atapitia tena Marekani.
Habari ndiyo hiyooo!
....kwani ratiba ya rais si inapangwa miezi kabla???..afteral safari ya dar mbeya kwa gulfstream haifiki masaa mawili...inakuwaje mikutano ya tangu asubuhi ifutwe??
Hii kuikimbia haijaa kaa sawa kwa mujibu wa ratiba si ilikuwa leo aondoke tu leo? sasa hii sensationalization kuwa jk "kuikimbia" ndio ushabiki mwenyewe huu.
Fidel
Kwa utaratibu huu 2010 magereza hayatatosha. Watafute chanzo grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
This is not true kwenye jukwaa la siasa. Hii haina tofauti na wale wanasiasa wanaodanganya kupata kura. Bro acha uchochezi weka vitu vya maana sio kama hiyo kauli. Election gani ilifanyika kuchagua raisi wa mbeya? watake radhi waTZ na wananchi wa Mbeya kuwaondolea haki yao waliyoipata ktk uchaguzi mkuu kwa kumuweka JK kama raisi wao na wana haki ya kumuhoji japo anawakimbia.Mbeya wana Rais wao.Nashangaa kwanini Jk alikuwa hajua kipindi chote hiki!
Haya ndio matokeo ya kuwa na washauri kama.....................January Makamba
Hii kuikimbia haijaa kaa sawa kwa mujibu wa ratiba si ilikuwa leo aondoke tu leo? sasa hii sensationalization kuwa jk "kuikimbia" ndio ushabiki mwenyewe huu.
Hii kuikimbia haijaa kaa sawa kwa mujibu wa ratiba si ilikuwa leo aondoke tu leo? sasa hii sensationalization kuwa jk "kuikimbia" ndio ushabiki mwenyewe huu.
This is not true kwenye jukwaa la siasa. Hii haina tofauti na wale wanasiasa wanaodanganya kupata kura. Bro acha uchochezi weka vitu vya maana sio kama hiyo kauli. Election gani ilifanyika kuchagua raisi wa mbeya? watake radhi waTZ na wananchi wa Mbeya kuwaondolea haki yao waliyoipata ktk uchaguzi mkuu kwa kumuweka JK kama raisi wao na wana haki ya kumuhoji japo anawakimbia.
sawa hajakimbia, bali kalala mbeya, hii sasa imekaa sawa?
Bila kuathiri ushabiki unaoendelea hapa!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... Mh. J.M. Kikwete alikuwepo Dar es Salaam kupokea maandamano ya albino kupinga kuuawa ovyo!!!!
Ni matumaini yangu kuwa Ma-alibino walikuwa na ratiba yao na mh. Rais alikuwa na ya kwake... sasa sijui nani alistahili kufuata ya mwenzake.
Akili zangu ndugu nilizojaliwa na mola... nadhani Rais alitakiwa kufuata ya wananchi wake... especially hawa ambao wana-protest kutouwawa ovyo.
Nawasilisha!
Kwani kuna tatizo gani Mbeya wakiwa na 'rais' wao? Mbona huhoji Yanga, TFF, Chama cha Walimu kuwa na Marais wao?
Bila kuathiri ushabiki unaoendelea hapa!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... Mh. J.M. Kikwete alikuwepo Dar es Salaam kupokea maandamano ya albino kupinga kuuawa ovyo!!!!
Ni matumaini yangu kuwa Ma-alibino walikuwa na ratiba yao na mh. Rais alikuwa na ya kwake... sasa sijui nani alistahili kufuata ya mwenzake.
Akili zangu ndugu nilizojaliwa na mola... nadhani Rais alitakiwa kufuata ya wananchi wake... especially hawa ambao wana-protest kutouwawa ovyo.
Nawasilisha!