much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kwani hayo sio past tense?Bora angezungumzia udhaifu wake ktk urais badala ya kutueleza mambo ambayo ni past tense. Yana faida gani kwetu? Hicho ni chama chao na ufisadi wao na unafiki wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hayo sio past tense?Bora angezungumzia udhaifu wake ktk urais badala ya kutueleza mambo ambayo ni past tense. Yana faida gani kwetu? Hicho ni chama chao na ufisadi wao na unafiki wao.
Kumbe watu walibaki na siri kwa mudaNdio nimetambua hapa. Kumbe hii Kamlete Republic imetoka uko. Nileteeni Makinda!
Jk anajua kupangilia maneno, sio NgoshaRais wa awamu ya nne leo akiongea na kituo cha redio cha Clouds FM kwenye kutimiza miaka 72 tangu aje duniani, ameongelea uchaguzi wa ndani ya chama cha CCM mwaka 1995.
Kikwete amesema baada ya Benjamin Mkapa kuteuliwa na CCM, watu waliokuwa upande wa Jakaya Kikwete walipandwa na Jazba akiwemo mama Anna Makinda ambae alidai angelikuwepo mgombea binafsi basi wangemuunga mkono JK kuwania nafasi hiyo.
Kikwete amesema wapo waliotaka wakasajili chama kipya ili JK apeperushe bendera.
Kikwete aliwaambia 'calm down' kwani 'advantage waliyonayo umri wake bado unaruhusu kwani alikuwa na miaka 45 muda ule na miaka kumi inayofata angekuwa na 55 sawasawa na umri aliokuwa nao Mkapa 1995.
Kikwete amesema alipoomba kuzungumza kwenye mkutano wa CCM, walipata hofu.
CCM wana pepo la wizi wa kura 🤔Angeungana na Mrema, Lowassa na yeye. Mapacha 3, CCM ya Mkapa isingeshinda 1995.
Bora angezungumzia udhaifu wake ktk urais badala ya kutueleza mambo ambayo ni past tense. Yana faida gani kwetu? Hicho ni chama chao na ufisadi wao na unafiki wao.
Wala sio kumuuingiza mjini, JK alikua raisi. Aliweza kufanya kila alitakalo. Aliweza kumuondoa yoyote asiyemtaka na akafanikiwa. Raisi yoyote hapa hufanya hivyo, Hakuna Cha karata Wala kekundu. Ukiwa raisi unakua na nguvu sanaJK na SIX waliutengeneza mtandao, na JK huyo huyo akauua mtandao baada ya kutaka kumzidi nguvu, JK anakipaji cha kuchanga karata na kuzicheza akisaidiwa na kuwa kwake mtoto wa town.
Alimuingiza mjini SIX na UPM akajaa, akapozwa na Uspika akapoa, SIX akatumika kama fimbo kumchapa nywele nyeupe kupitia vijana wake pale bungeni na usajili mpya kutoka kyela, white hair akakaa huku backup yake ya burushi wa Igunga ikipigwa pin.
Mungu akurehemu huko uliko SIX vijana wako yule wa kigoma na mwingine wa koromije wapo wanaendeleza kazi uliyowafundisha japo mmoja kakengeuka na hata kumgeuka yule uliyeomba awe mentor wake matokeo yake akadandia mtumbwi uliozama ziwani.
SiHasa za Bongo tu hizo !!Siasa😃😃😃😃😃
Kweli kabisa!Hakika, hizi ni hadithi tu.
Nani alisema ccm inashinda kwa sanduku la kura?Angeungana na Mrema, Lowassa na yeye. Mapacha 3, CCM ya Mkapa isingeshinda 1995.
Ilikuwa ni shukraniKumbe ndo maana Makinda alipewa Uspika
Bongoland !!Ilikuwa ni shukrani
Duh !Nani alisema ccm inashinda kwa sanduku la kura?
Ndio PoliticsSiasa😃😃😃😃😃
NCHI IMEMCHUKUA.AMEICHUKUA NCHI.
Karibu chaguzi zote baada ya mfumo wa ma vingi upinzani ulishinda tatizo ni kutangazaAngeungana na Mrema, Lowassa na yeye. Mapacha 3, CCM ya Mkapa isingeshinda 1995.
We mwehu eeh, sas huo udhaifu wake katka Urais ni FUTURE TENSE??Bora angezungumzia udhaifu wake ktk urais badala ya kutueleza mambo ambayo ni past tense. Yana faida gani kwetu? Hicho ni chama chao na ufisadi wao na unafiki wao.
Usikariri get your mind right please. So wote waliotoboa Ni koneksheni.Bila koneksheni hutoboi wewe
Chuki hizi, Kikwete amesomea UCHUMI anakosaje kuwa na Sifa za Kuwa waziri wa Fedha??Anafanya spining political ila yote sawa ni wakati wake huu
Kikwete aseme ukweli mwinyi ndiye aliyembeba kwa kumpa wizara ya fedha mtu ambaye hakuwa na sifa
Na baadae mwinyi akamtengenezea mazingira ya krahisishia kikwete huku mwinyi akimbomoa mkapa kuptia dola
Kikwete usiumize wenzio ndani ya Chama kwasababu umebahatika
Tenda wema km ulivyotendewa
Pia kusema membe sio ndugu yako apo unatudanganya mh kikwete