Elections 2010 Kikwete na CCM Wako chini Kagera

Elections 2010 Kikwete na CCM Wako chini Kagera

Sophist

Platinum Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
4,486
Reaction score
3,408
Ndugu,
Ndio kwanza narejea kutoka mkoani Kagera. Nimefika majimbo ya Nkenge, Bukoba Mjini, Bukoba Vijijini na Muleba Kaskazini. Watu nilioongea nao, wengi takribani 60% wameonyesha na kutamka wazi wazi kuwa hawatakuwa tayari kumchagua Jakaya Kikwete. Wanazo sabaabu zao; halin ngumu ya maisha, rushwa katika vituo vya afya (matibabu), elimu duni inayotolewa na shule za kata, na zaidi ya yote, kuzuiwa kuvua samaki. Wananchi wa kata za Rubafu, Katare, Kishanje, Kaagya, Buhendangabo, Ibosa, Kahororo, Maruku, Kemondo na nyinginezo, wengi wao wakiwa ni wavuvi wa asili, wanasema kitendo cha kuharamishwa kuvua samaki ndicho kimewatenga na CCM.Kikwete. wanasema, "ichweee, Kikweete chei". Sawa na madai yao, kweli ukiwaangalia unaona walivyo kongoloka kwa kukosa lishe ya samaki. Kwa nwanachi kama 30 hivi niliopata kuzungumza nao, hasa wale wa mialoni, wanasema kura zao watampigia Dr, Silaa. Kazi kwenu CHADEMA ku-seize hiyo fursa.
 
Ndugu,
Ndio kwanza narejea kutoka mkoani Kagera. Nimefika majimbo ya Nkenge, Bukoba Mjini, Bukoba Vijijini na Muleba Kaskazini. Watu nilioongea nao, wengi takribani 60% wameonyesha na kutamka wazi wazi kuwa hawatakuwa tayari kumchagua Jakaya Kikwete. Wanazo sabaabu zao; halin ngumu ya maisha, rushwa katika vituo vya afya (matibabu), elimu duni inayotolewa na shule za kata, na zaidi ya yote, kuzuiwa kuvua samaki. Wananchi wa kata za Rubafu, Katare, Kishanje, Kaagya, Buhendangabo, Ibosa, Kahororo, Maruku, Kemondo na nyinginezo, wengi wao wakiwa ni wavuvi wa asili, wanasema kitendo cha kuharamishwa kuvua samaki ndicho kimewatenga na CCM.Kikwete. wanasema, "ichweee, Kikweete chei". Sawa na madai yao, kweli ukiwaangalia unaona walivyo kongoloka kwa kukosa lishe ya samaki. Kwa nwanachi kama 30 hivi niliopata kuzungumza nao, hasa wale wa mialoni, wanasema kura zao watampigia Dr, Silaa. Kazi kwenu CHADEMA ku-seize hiyo fursa.
Hata wilaya zingine za Karagwe na Nkenge na Muleba, Kikwete labda arudi tena na kutoa ahadi mpya. Hana kitu. Mimi nilifanya utafiti nikagundua anashindwa kwa 70%.
 
Kikwete aka KIHERE HERE kwishnei. WERA WERAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!
 
Kwa Hujuma alizo zifanya JK simpatii picha atakapokuwa akiburuzwa Kortini hapo mwakani.
 
Lenye mwanzo lina mwisho.

JK alifikiri anaweza akaongoza atakavyo sasa kukiona cha motoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Ndugu,
Ndio kwanza narejea kutoka mkoani Kagera. Nimefika majimbo ya Nkenge, Bukoba Mjini, Bukoba Vijijini na Muleba Kaskazini. Watu nilioongea nao, wengi takribani 60% wameonyesha na kutamka wazi wazi kuwa hawatakuwa tayari kumchagua Jakaya Kikwete. Wanazo sabaabu zao; halin ngumu ya maisha, rushwa katika vituo vya afya (matibabu), elimu duni inayotolewa na shule za kata, na zaidi ya yote, kuzuiwa kuvua samaki. Wananchi wa kata za Rubafu, Katare, Kishanje, Kaagya, Buhendangabo, Ibosa, Kahororo, Maruku, Kemondo na nyinginezo, wengi wao wakiwa ni wavuvi wa asili, wanasema kitendo cha kuharamishwa kuvua samaki ndicho kimewatenga na CCM.Kikwete. wanasema, "ichweee, Kikweete chei". Sawa na madai yao, kweli ukiwaangalia unaona walivyo kongoloka kwa kukosa lishe ya samaki. Kwa nwanachi kama 30 hivi niliopata kuzungumza nao, hasa wale wa mialoni, wanasema kura zao watampigia Dr, Silaa. Kazi kwenu CHADEMA ku-seize hiyo fursa.

Kwenye nyekundu Mh ???????,Hiyo takwimu ni kati ya wapiga kura wangapi?
 
Kaka watu wapo kwenye kujifurahisha, hata hilo nalo mwataka kuwanyima?

Acha wafurahi. Ila wakijifanya sijui kuingia msituni, hapo ndiyo watakapojua kilichomtoa kanga manyoya. Teh teh teh :becky: :becky: :becky:
 
Back
Top Bottom