Siku zote hizo alikuwa anajitungia maswali ya kuulizwa. leo ndio kaibuka, kweli kiboko sasa kasema anataka mwalimu mmoja afundishe wanafunzi wengi kwa wakati mmoja kupitia fibre optic cable umeme anao?
kasema serikali ina mpango wa kufundisha walimu wengi zaidi ili kuinua kiwango cha elimu, wachache waliopo sasa wanampa tabu kuwalipa.
eti pia wana mpango wa kutoa huduma za afya kwa e-medicine yaani daktari akiwa marekani anaelekeza mtu anapasuliwa tanzania, wale jamaa wa muhimbili waliopasuliwa vichwa badala ya miguu walikuwa wanapata maelekezo wakiwa na mtaalam hapohapo, hivi wakiwa wanapokea maelekezo kutoka unyamwezini kupitia screen tutapona kwel,i si watatukata shingo kabisa?