MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Hatimaye ........................................kamaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vumilia aibu ni ya taifa. manake huyo ndo anakaa Magogoni, na hii coverage kubwa alopewa inaonekana hata nje ya nchi; sijui wanatutizama vipi? Watu wakifikiria aina ya maswali yaliyoulizwa na majibu yanayotolewa; aibu ni kubwa mno.nasikia usingizi.
mbona umetaja Tanzania daima na Mwananchi umezitaja separeti? nyambaff
Karibuni Kumsikiliza Mh. Rais Rais Akiwa LIVE kupitia Bongo Radio, Unaweza kutupata LIVE kupitia BONGO RADIO Media Player kwa High Speed na BONGO RADIO Media Player kwa Low Speed na pia Unaweza kutusikiliza kupitia Simu Ya Mkononi (Smartphone) kupitia http://bongoradio.com:8000/listen.pls for 3G connection na http://bongoradio.com:9000/listen.pls kwa Slow Speed.
Ahsanteni Sana,
Bongo Radio Team.
hamalizi tu?
Unadhani hajipendi, hao wa kupangwa anatokwa jasho hivyo. Je wangealikwa kina Kubenea si angedondoka kabisa?Sijasikia Mwanahalisi, Raia Mwema wala Tanzania Daima