Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

Elections 2010 Kikwete on ITV, maswali na majibu toka kwake

kila akisema anaangalia chini. Body language za waatu wengi ni kwamba mdahalo uishe. makamba na msekwa wanatetemeka tu
 
Anahubiri kuwa ADB watatutembezea kopo tujenge maabara du! bila aibu
 
Dah! Yaani Jamaa Kajiandalia Maswali halafu akawapa Waandishi wa Habari Wamuulize! They guy is like anawapigia Hadithi Wajukuu Zake LoL!
 
Kuna makofi yanapigwa kwa vitu vya ajabu..
Nilikuwa sipendi sayansi - Makofi..
Siwezi hesabu - Makofi
 
uyu wa channel ten kilaza kweli na kapangwa swali lilelile kila miaka
 
kwa maendeleo na mabadiliko chagua chadema, tuone kama hiyo amani haitapatikana


JAMANI TUSIDANGANYIKE,TANZANIA KUNA AMANI GANI?INAMAANA HATUONI HAKI ZA WATU ZIKIZULUMIWA KILA KUKICHA?

amani haipo katika maneno amani ni matendo,mbona wazee wetu wa EAC wanataabika na wengine ni baba zetu,mama zetu na wajomba na shangazi hamlioni hilo,wafanyakazi wananungunika kila leo,walimu wasanii wanafunzi sasa amani iko wapi au turudi katika kamusi?

si hivyo tu wapo wasomi wengi wamekimbia nchi yetu na kwenda kufanya kazi nje,wafanyabiashara wengi wameenda nje kwa sababu tu nchi yetu inawasumbua.HAKUNA AMANI.

wapo watu wengi wanapoteza maisha kwa sababu mioyo yao inataabika,na ndiyo maana ugonjwa wa kupooza umeshika kasi sababu msongo wa mawazo umekithiri.
 
Swali moja anaongea dk 15-20...kipindi kinaisha sasa hivi!
 
mweee...na kibonde yupo...halafu naona kama kuna waganga wengi wa kienyeji....au macho yangu
 
Waulizwa maswali wamepangwa, wengine hawaruhusiwi kuuliza. Mambo yameanza. Kabla hajaanza kujibu, kwanza anacheka.

Suzan Mungi-Style ya kampeni, unawanadi wabunge baadhi ya wananchi wanalalamika unawanado baadhi ya wabunge wenye kesi mahankamani na kesi nzito tu. Wewe unalionaje hili?

JK-Hao ndio nilio nao na ni kweli wengine wana kesi, Hata wakati wa uteuzi kulikuwa na mjadala, lakini tukasema tuhuma si hatia


Hivi kwa nini haulizwi kwamba huko ni kukosa ethics kwa sababu yeye kama Executive ndiyo mshitaki mkuu hivyo hawezi hapo hapo kumnadi mtuhumiwa huyo kwa kusema kwamba achaguliwe kwani ni mtu safi? Anamdanganya nani?

Haulizwi nia ya kufanya hivyo ni kumfanya huyo mtuhumiwa ajisikie yuko kwenye right hands -- kwani JK aweza kuamrisha kufutwa kwa kesi, au kumsamehe iwapo atatiwa hatiani? All this is upside down, totally unethical and a show of very bad governance!! Maadili zero!!!

Huyu anafikiri Watz bado ni mbumbumbu leo?
 
this guy is never serious hajiwezi ni dhambi kumpa kura anafaa kuwa afisa miradi
 
Back
Top Bottom