Jamii kubwa ya Wa tz walikuwa na shauku kubwa ya kupata kile roho inapenda kutoka kwa Dr JeyK (Provided Dr ya hesima ni challenging kuliko ya kawaida). Pamoja na maswali ya bashasha na utiifu toka kwa waulizaji, lakini majibu yake ni dhaifu mno au yanatoka katika swali-I dont think kama hali ya nchi then useme mvua iko geita, ajira useme kufungua vizibo vya bia bar! I certainly become demoralized to this person. Kinana Why this happened?