zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,075
- 9,263
halafu huyu jamaa mbona anajibu km ameshakuwa rais tayari? eti...oooh!! miaka 5 ijayo tutafanya hiki.....!!! si angesema tukipata ridhaa tena tuta..........!! mie simuelewi!!! halafu alivyo mpumbavu katoa hadi siri namna wanavyo iba kura, mara oooh....mawakala wawe waangalifu, data zikiingizwa kwenye computer wazihakikishe za JK zisiongezwe...oooh.....!! yaaani bla bla nyingi, kumbe ndo wanavyotuibia kura zetu ee!!!!