Katika hali ya kustaajabisha ndani ya campaign trail inaripotiwa kwamba mgombea wa uraisi kwa tketi ya CCM hauziki. Hili linasemwa chini chini na wenyeviti wa CCM wa wilaya kadhaa. Kutokuuzika kwa mgombea huyo kunahatarisha hata baadhi ya wagombea ubunge na madiwani wa CCM.
Sababu kuu za kuporomoka kwa nyota (kama yeye mwenyewe anavyopenda kuiita) ya mgombea uraisi wa CCM ni kama zifuatazo.
1. Mgombea na CCM hawakujiandaa kabisa kupata rsistance wanayoiona.
2. Loyalty kwa chama imepungua mno au haipo kabisa kutokana na CCM kuweka bei ya karibu kila kitu kuanzia support, attendance ya mikutano na hata kura zenyewe. Sababu nyingine ni majority ya voters wa sasa hivi wengi ni born in the eightees and ninetees hivyo impact ya CCM kama influence haipo.
3. Pamoja na kusifika kote kwa strategy na organaizesheni CCM this time imekabidhi zigo zima la strategy kwa mgombea mwenyewe na familia yake.
4. Same old rhetoric kuendelea kutumika kwa kudhania watanzania hawa ni wale wale wa yes sir.
5. Sababu nyingine ni over-confidence aliyokuwa nayo JK kabla ya kampeni kuanza, hasa ukizingatia ushabiki na support fake (yes it was bought) wakati utaratibu wa kumpitisha ndani ya chama chake ulipokuwa ukiendelea. Alisahau kabisa kwamba wale walikuwa ni mainly wanaCCM na sio watanzania wote.
6. Uchakachuaji wa kura za maoni of which hakuonyesha leadership kufikia maamuzi ya mwisho.
7. Kuwazuga watanzania kwamba yeye ni mpambanaji wa ufisadi wakati huo huo akiwasafisha watuhumiwa ufisadi na akikampeni kifisadi. Funny enough thse day kila anapoenda watu wenye questionable credibility ndiyo wanakuwa mstari wa mbele kuwa naye karibu.
8. JK anadhani yeye ndiye CCM na CCM ndiyo yeye na yeye ndiyo serikali, which is absolutely very wrong.
9. Makamba, Kinana, na baadhi ya mafisadi kudhania kwamba they can do it alone..... Waliwakejeli vigogo wa zamani wa chama hicho na hawakutaka kuwahusisha kabisa na mwenendo wa kampeni utakavyokua.
10. Sababu kuu na muhiimu kuliko zote WATANZANIA WAMEICHOKA CCM na ahadi zake hewa, wanamwona kikwete kama nabii wa uongo, tapeli na asiye na chembe ya ujasiri wa kuwaafikisha kule wanakokutaka.