Kikwete: Sera zinazowanyima watu uhuru ni hatari kwa usalama wa nchi

Kikwete: Sera zinazowanyima watu uhuru ni hatari kwa usalama wa nchi

  • Kwenye hiyo aya ya mwisho, sikubaliani na Mh. JK. Kwa rasilimali tulizo nazo, inapaswa tuwe na JWTZ imara hatari.
  • Kabla ya kutafuta mali, imarisha Ulinzi
  • Congo, D.R imekuwa shamba la bibi Kwa kukosa Ulinzi.
 
Hawakuzungumzia lolote kuhusu ugumu wa maisha?? Hiyo inaweza kuwa sababu kuu kuliko zote ya kuondoa Usalama, inapofika maisha yanakua magumu mpaka mjeda anajitoa uhai ........
 
Akizungumza kwenye hafla ya Miaka 10 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC), Rais Mstaafu amesema ni muhimu kuhakikisha kunakuwa na sera nzuri zisizobagua na kuwanyima watu uhuru wao kwasababu hiyo ni njia nyingine kuu ya kulinda usalama wa nchi.

Amefafanua kuwa usalama wa nchi unahusisha mambo mengi, na kutolea mfano majukumu ya JWTZ kulinda mipaka, Idara ya Usalama wa Taifa kufanya upelelezi na kupekua mambo yanayotokea duniani kote lakini kipengele kikubwa ni nchi kuwa sera nzuri za ndani.

Kikwete amesema "Nchi ikiwa na sera nzuri za ndani na mahusiano mazuri na nchi nyingine haitalazimika hata kununua vifaru vya jeshi kwa sababu hakutakuwa na matishio ya usalama na hivyo hakutakua na wa kupigana naye".
Msanii mkubwa huyo,ndiye aliyetuletea mwehu mwendazake akatuharibia nchi
 
Angesema kiongozi yoyote wa CHADEMA, ungesikia wapinzani wanataka kuuza nchi au kuhatarisha usalama wa Taifa na kwamba hawafai kupewa nchi.
 
Angesema sera nzuri za Elimu na Ajira zenye staha kwa Watanzania wote ni muhimu kwa usalama wa nchi.
 
Leo Mzee Baba Amechafukwa Sana Amesema Ukweli Mtu

Lete Maneno......
Akili Za Kuambiwa Changanya Na Za Kwako
By JK Wa Msoga Chalinze Tanzania
 
Akizungumza kwenye hafla ya Miaka 10 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC), Rais Mstaafu amesema ni muhimu kuhakikisha kunakuwa na sera nzuri zisizobagua na kuwanyima watu uhuru wao kwasababu hiyo ni njia nyingine kuu ya kulinda usalama wa nchi.

Amefafanua kuwa usalama wa nchi unahusisha mambo mengi, na kutolea mfano majukumu ya JWTZ kulinda mipaka, Idara ya Usalama wa Taifa kufanya upelelezi na kupekua mambo yanayotokea duniani kote lakini kipengele kikubwa ni nchi kuwa sera nzuri za ndani.

Kikwete amesema "Nchi ikiwa na sera nzuri za ndani na mahusiano mazuri na nchi nyingine haitalazimika hata kununua vifaru vya jeshi kwa sababu hakutakuwa na matishio ya usalama na hivyo hakutakua na wa kupigana naye".
Wastaafu wengine wakistaafu ndio akili zinarudi sawa na KUAMUA kusema ukweli.
 
Akizungumza kwenye hafla ya Miaka 10 ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC), Rais Mstaafu amesema ni muhimu kuhakikisha kunakuwa na sera nzuri zisizobagua na kuwanyima watu uhuru wao kwasababu hiyo ni njia nyingine kuu ya kulinda usalama wa nchi.

Amefafanua kuwa usalama wa nchi unahusisha mambo mengi, na kutolea mfano majukumu ya JWTZ kulinda mipaka, Idara ya Usalama wa Taifa kufanya upelelezi na kupekua mambo yanayotokea duniani kote lakini kipengele kikubwa ni nchi kuwa sera nzuri za ndani.

Kikwete amesema "Nchi ikiwa na sera nzuri za ndani na mahusiano mazuri na nchi nyingine haitalazimika hata kununua vifaru vya jeshi kwa sababu hakutakuwa na matishio ya usalama na hivyo hakutakua na wa kupigana naye".
Naam hizi Tozo (double taxation), walamba asali waliojisahau wenye majibu ya hovyo, mawaziri/watendaji wanaohudumia matumbo yao badala ya kuwatumikia wananchi na marginalization of many ni mbaya sana kwa usalama wa nchi..., tunaanzisha an enemy within...
 
Endeleeni kuvibana vyama vya upinzani muone kama sitajilipua.
 
Mheshimiwa rais mstaafu Jakaya Kikwete amejifunza mengi kule Jamhuri ya Kenya na sasa ameamua kusema kweli .
Kwa hukumu ile hakuna la kujifunza kwenye vyombo vya kutoa haki nchini humo!
 
Back
Top Bottom