Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Wajamameni tulalamika mno, kama mchangiaji mmojawapo aliyebainisha hapo juu, JK ni reflection wa watanzania. Mambo anayoyafanya ni utashi wetu sisi tuliomuweka madarakani. Ni kama George Bush amareflect wamarekani walivyo. Haiwezekani tukapata raisi ambaye hatakuwa na reflection ya kwetu sisi. Watanzania wengi hatupendi kufanya kazi ni kulalamika tu, kila mtu mission town, hatujui kusoma alama za nyakati,kila mtu najitahidi kuwafisadi kwa nafasi yake!!! ni aibu hata kusimulia mawaziri wanatafuta academic intellectual kwa gharama yeyote kila mtu anajua Matayo hana PhD, Nchimbi,Nagu et al list ni ndefu lakini ndo mawaziri wetu!!. BWM alipokuwa madarakani aligundua ni aina gani ya watu mizigo anayoiongoza, akamua kujifanyia biashara ikulu, kuna mkutano mmoja Johanesburg BMW alimua kuwakilishwa na jamaa fulani kutoka Ghana.baada ya kuona TZ tupo kwenye usingizi wa pono..nafikiri watanzania walio wengi tupo tu kwa sababu ya kuwepo. Wale wenye macho hawataki kubeba torchi, wanaachia vipofu watuongoze. Wenye uchungu tujikite kwenye siasa tupole uongozi basi....hainiingi akilini Mbuge kukaa miaka 40!! Mzindakaya et al inamaana hakuna zaidi ya yeye kwenye hilo jimbo, akifa ndo mwisho wa uwakilishi wa wadanganyika hao. Tusilalamike tufanye kitu..mimi wewe na yeye kama tuna machungu na hii mchi yenye neema. Mungu bariki Tanzania