Kikwete siyo safi! - yes I said it!

Kikwete siyo safi! - yes I said it!

aise ni uzi wazamani sana lakini bado unaishi ni miaka 10 sasa imepita katika historia ya maisha yangu sitasahau awamu ya 4 na mambo yake kilakitu ilikuwa ni deal haijalishi kiongozi mdg au mkubwa wote ilikuwa deal juu ya deal MUNGU LIFIKISHE TAIFA TUNAPO HITAJI KUFIKA sina chama sizani kama naweza kuwa na chama ila mapenzi ya Mungu yatimizwe future anaejua ni yy tu ila kipenda nikatafuta chama ila sio sasa baadaye sana MUNGU IBARIKI TZ
 
aise ni uzi wazamani sana lakini bado unaishi ni miaka 10 sasa imepita katika historia ya maisha yangu sitasahau awamu ya 4 na mambo yake kilakitu ilikuwa ni deal haijalishi kiongozi mdg au mkubwa wote ilikuwa deal juu ya deal MUNGU LIFIKISHE TAIFA TUNAPO HITAJI KUFIKA sina chama sizani kama naweza kuwa na chama ila mapenzi ya Mungu yatimizwe future anaejua ni yy tu ila kipenda nikatafuta chama ila sio sasa baadaye sana MUNGU IBARIKI TZ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba maisha yalikuwa deal juu ya deal!
Vyama sio mpango mzima ni mgombea binafsi, ambapo mwanasiasa atakuwa huru bila kubanwa na chama chake ila hii nikungoja dodo chini ya mwarobaini!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwamba maisha yalikuwa deal juu ya deal!
Vyama sio mpango mzima ni mgombea binafsi, ambapo mwanasiasa atakuwa huru bila kubanwa na chama chake ila hii nikungoja dodo chini ya mwarobaini!
kweli mzee baba tulikokuwa tunaelekea maskini wangebaki maskin na matajili ivo ivo saiv wote tunaminyana na karibu wote tunalipa kodi
 
Back
Top Bottom