KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
JOKOFU aka NYANI NGABU,
Two things will happen ktk hii battle you either WIN or you go home with lots of SHAME..........so far you'r in the "den of darkness." Kuna mtu alisema hapa kwamba NYANI NGABU = na JOKOFU KIWETE/KIKWETE. Seems like you want to win it all, two faces in one body na ndio Utanzania huo, shame on you!!!.
Ngabu,
Sina muda na hizo cheap slants, naenda kulala kwani baadae kuna "shock and awe" @ Fenway Park in the old Backbay neighborhood of the GREATEST Beantown. Kama Huna habari ni game one of world series kati ya the beloved REDSOX of New England na Rockies of colorado. Peace!.......Join the part on your local sports channel at 8.30 EST, your welcome!!!!!. GO REDSOX.
JOKOFU aka NYANI NGABU,
Two things will happen ktk hii battle you either WIN or you go home with lots of SHAME..........so far you'r in the "den of darkness." Kuna mtu alisema hapa kwamba NYANI NGABU = na JOKOFU KIWETE/KIKWETE. Seems like you want to win it all, two faces in one body na ndio Utanzania huo, shame on you!!!.
Sifa moja kubwa nayompa Kikwete hadi sasa ni uhuru huu wa waandishi..
Mkandara, right on the mark.. kama kuna jambo moja ambalo Kikwete alilifanya mapema sana na kumzuia Seif Khatib kutumia nguvu yake ya kisheria, hasa pale watu walipomuita yeye msanii.. kucha ndefu zisizokatwa za vidole vya serikali zilikuwa tayari kuparua.. ni yeye alizuia..
Mkuu MMJ,
Khatibu, ni muandishi wa habari au?
Umeanza tena! naona hujipendi. Waache wale wala wali wale wali wao!
So far ninazimia sana na Adam Lusekelo, maana mkuu humkoma nyani kwenye Daily News, sasa nimeelewa kwa nini Mkuu wa kaaya, angekuwa na his way nasikia angetaka yafungwe,
yaani Daily News/Uhuru, na Mzalendo, ila it is a matter of time nasikia anayalia dip tu siku moja atayafunga, maana haya sio mtandao!
Tanzania kila mtu yuko huru kusema kile anachojisikia.
Tusiposema sisi basi mawe yataongea
Ni wanasiasa wa ngapi Tanzania ya leo wana jeuri ya kujibu swali la Kennedy???