Yetu Macho
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 224
- 32
...Jakaya, ambaye alikuwa anarejea kutoka ziara ya takribani wiki mbili kwenye nchi za Jamaica, Cuba na Trinidad na Tabago ambako alihudhuria mkutano wa Jumuiya ya Madola, alisema hatishwi na maneno yaliyozungumzwa kwa kuwa watu waliozungumza wanajulikana wanatoka upande gani.
âJapo bado sijapata taarifa vizuri kuhusu yote yaliyozungumzwa katika kongamano hilo; siwezi kushangazwa sana, lakini ninakwenda kupata taarifa kamili na kujadiliana na wenzangu kisha nitajibu mambo yote yaliyokuwa na maana na yale ambayo hayana maana na yaliyosemwa kwa chuki, tutayapuuza tu,â alisema Rais Kikwete.
Rais Kikwete alisema hashangazwi na hali iliyotekea kwa kuwa binadamu wanatofautiana kimtazamo, lakini akasisitiza kuwa anachojali zaidi ni dhamana aliyonayo kwa umma.
"Asilimia 15 watakupenda, asilimia 15 nyingine watakuchukia na asilimia 70 iliyobaki watabaki wanaangalia upepo unaelekea wapi hivyo tusubiri kuna maamuzi tutafanya,â alisema Rais Kikwete.
Heheee Chaguo la Mungu siyo?
Wa-Anglican na Kizazi cha Nguruwe nasikia ndiyo tulimchagua Kikwete.
Asante yake kajawa Waislaam kwenye CCM na serikali yake.
Hahaaa, Pengo!!! Eti chaguo la Mungu. Sijui alikuwa akimaanisha Mungu yupi?
Maswala mengine heri ukae kimya kuliko uropoke.
Tumaini, usiwe na shaka. Mnataka Muislaam, huyo hapo mnaye. Au kwa kuwa alichaguliwa na Wa-Anglican?
NB: Kwa huku Tabora, hata awekwe NYANI wa CCM, Nguruwe wa CCM, Fisi wa CCM, nk so longer ni CCM basi atashinda. Minyamwezi bwana, huwa napata hamu ya KUI-hasi ili kizazi kipotee milele. Utafikiri siyo mijukuu ya Mirambo na Isike.
Makamba anamwelewa vema Boss wake (JK). Nampongeza kwa hiloo...Rais naye hajibu hoja,ishu ya msingi hapa kutuambia ni mambo gani wewe na serikali yako mnaweza kujivunia na kwamba umefikia wapi na maisha bora...si kuanza kutoka nje ya topic na kulalamika kuwa ni chuki.
Tatizo Rais wetu hakubali challenge na anataka aonekane yupo right kwa kutufanyia usanii...km anaongoza watoto vile. Halafu makamba anataka watu wakae kimya kwasababu hayo mamlaka yamewekwa na Mungu.
Heheee Chaguo la Mungu siyo?
Wa-Anglican na Kizazi cha Nguruwe nasikia ndiyo tulimchagua Kikwete.
Asante yake kajawa Waislaam kwenye CCM na serikali yake.
Hahaaa, Pengo!!! Eti chaguo la Mungu. Sijui alikuwa akimaanisha Mungu yupi?
Maswala mengine heri ukae kimya kuliko uropoke.
Tumaini, usiwe na shaka. Mnataka Muislaam, huyo hapo mnaye. Au kwa kuwa alichaguliwa na Wa-Anglican?
NB: Kwa huku Tabora, hata awekwe NYANI wa CCM, Nguruwe wa CCM, Fisi wa CCM, nk so longer ni CCM basi atashinda. Minyamwezi bwana, huwa napata hamu ya KUI-hasi ili kizazi kipotee milele. Utafikiri siyo mijukuu ya Mirambo na Isike.
alipima akili alipokuwa huko,hahhaaaahhaaaa mamaaaaaaa haahahahahahahha
alidanganywa majibu aliyopewa,
NB:
- Naona hapa ameongea kama aliyeingia madarakani kwa kufanya mapinzuzi vile. Kutoka 85% waliompenda hadi 15% na wafukuza upepo 70%
_ Hii kupenda kusafiri hata kabla hajatatua hili ni kweli kuwa linatokana na kula miguu ya mtetea wa keinyeji?
- Ni kweli kuwa sikio la kufa halisikii dawa? kelele zilizokwisha masikioni kuwa misururu ya rais ni mikubwa kupita kiasi bado haisikii au ndio kuwa ni kula nchi kwa kwenda mbele? Fikiria kwa mataifa 195 duniani kama kila moja likipeleka Denmark watu 60 kama msafara wake, basi huo mkutano utakuwa na watu 11,700. Jamani huwaga tunajipima kulingana na uwezo wetu?
=== Sijui, labda ni chuki binafsi==
Mlimchagua wenyewe sasa mnalia na kusaga meno! Kudadadeki!
wanamkakati wa kikwete wanakosea sana wanapobadili mwelekeo wa vita dhidi yao kwa kuanza kuhalalisha mafanikio ya awamu ya nne ..kuwa yanazidi ya mwalimu ....someni gazeti la Subash Patel -TAZAMA ...Mtanielewa.....
nafikiri ni bora watetezi wa kikwete wangejielekeza kujibu hoja....badala badala ya kuangalia sura .....ya mtoa hoja...kosa hilo hata jk jana amelifanya..pale alipowaambia waaandishi kuwa "mnajuwa hao wanaotuo tuhuma wanatoka upande gani..."...ukichambua kauli kama hiyo inabariki makundi ...ina maana bado kuna WAO na SISI..thats a big mistake!!