Kikwete: Wapinzani ndio wanaochochea vita dhidi ya Malawi

Status
Not open for further replies.
80% ya watanzania ndio mlimuweka madarakani. Sasa mnajuta nini? Hamkujua kuwa "majuto ni mjukuu". Let him finish his term, no mistakes again.

am not sure!
 

Mkuu endelea kuamini hivyo kwani mimi pia nimesikia BBC wakisama eti JK kasema wapinzani wanachochea vita na Malawi kwa Uroho wa Madaraka! Ukishangaa ya Nape Utakutana na JK. Kwa JK kauli za Sita, Membe na Lowassa ni za wapinzani! Leo usiku Lowassa atkuwa akihijiwa na ITV dk 45 anakanusha kuwa na kusema watu walipotesha kali yake. Angalia dk 45 ITV leo.
 
Dah!kweli rais tunae!kumbe Mwalimu alikua na vigezo vya msingi sana kumkataa huyu mtu by then,haikua umri peke yake bali hata thinking capacity!kauli hii ni aibu kwa nchi nzima,bora 2015 ifike na aondoke tu maana kwa sasa nchi ni auto pilot,inajiendea tu,hatuna kiongozi kwa aina ya mtu wa namna hii,empty head chap!
 
Tukisema anacopy na kupest je,
Siku akiwa peke yake utasikia,
Najua kesho Rais Jk akiulizwa atasema hajasema
 

Wanatapatapa tu,Watanzania sasa wanaamka na wameazimia 2015 c.c.m kua history,akanushe aseme kweli aliongea hvyo kauli zao hazina tija kwetu,wametudanganya na kutuibia for 50 yearz then tuje kuwaamini kwa uongo wao wa siku moja?inahitaji kua na phd ya u.j.i.n.g.a kuweza kua supporter wa magamba,au labda uwe unafaidika moja kwa moja na mirija ya dhuluma na uporaji inayofanywa na magamba!their days are numbered!wajiandae kutujibu haya majumba ya kifahari kila kona,na hotel zinazojengwa milimani na kuvuka mipaka ya mali asili kama kule Bigwa Morogoro kwa kivuli cha umiliki wa Mbena Malumbi wakati wake zao na watoto zao tunawaona wakienda kukagua ujenzi,hizo pesa wanapata wapi,lazima waje kutujibu!
 
Hivi kila kitu kibaya ni upinzani vitu vizuri ndio serikali...
 
JK yuko sawa,wote waliosema TZ iko tayari kwa vita kwake ni wapinzani.
 
Nikupateje usiwe na akili kama za wanasayansi wa kale walioamini kuwa dunia iko kama meza wakaweka na sheria kuzuia mtu/mwanasayansi yeyote kufikiri ama kutamka vinginevyo.

Wakati unajifungia kwenye uelewa huo, chungulia kwenye ufa uyasome maandiko.

Jumuiya ya kimataifa (UN) ilipitisha sheria isiyohitaji utapeli wa namna yoyote wala nguvu ya ushawishi wa pesa za kirushwa rushwa. Na haihitaji lot of paper works,

NCHI MBILI ZIKIPAKANIA ZIWANI, AUTOMATIC MPAKA NI KATIKATI YA HILO ZIWA.

Sheria hii imetungwa na kukubaliwa na member states huku wahusika wakijua fika kuwa lengo lake ni ku-neutralise hizo old fassioned treaties.
Kumbuka hakuna nchi mpya imeanzishwa zaidi ya sudani kusini, uujue ukweli uliobebwa kimantiki na sheria hii. Ni uelewa tu utawafanya wamalawi kugundua ukweli huu.
 
Last edited by a moderator:
Ivi hiyo deligation ya tanzania inayoelekea MZUZU ktk meza ya wine ndo akina nani..wasije wakapelekwa vjizee ilimradi posho inaingia kumbe hawana skills za diplomac.
 

Inasikitisha sana tunapokua na Raisi Mwongo na asiyejiamini.Sote tulisikia kauli za Membe na Lowasa, tukasikia pia kauli za upinzani toka kwa Prof Safari,Baregu na Lipumba.Je! Ni wepi hapo walokua wakihimiza vita? Au ndio yale anapewa taarifa potofu? Mie binafsi naona aibu kuwa na Rais wa namna hii
 

Hujasoma hata sentensi moja ya sheria hiyo, la sivyo usingesema hilo ambalo tumelieieza vizuri na hatuna haja ya kurudia kwa anayekurupuka na kudandia treni kwa mbele.
 

Mkuu tumia akili pia katika kufikiri, Ziwa Nyasa limepakana na nchi tatu, kama Tanzania na Malawi watachukua nusu kwa nusu, Msumbiji nao watachukua nini?
 
Last edited by a moderator:
Upea wa kufikiri wa kiongozi ni mdogo. Mgogoro wa mpaka siyo wa kisiasa, ni wa kitaifa. Hapa ni kuweka pembeni tofauti zetu za kisiasa na kujiunga kuwa kitu kimoja kutetea taifa la Tanzania.
 
Source: BBC..anasema viongozi wa upinzani ndio wanaoongelea maswala ya vita dhidi ya wanyasa concern mgogoro.AMESEMA KATU TANZANIA HAITAPIGANA NA MALAWI.mytake Lowassa,membe,Sitta ni Wapinzani?

Source ni BBC au Nyasatimes?Hebu tunaomba utuwekee link mkuu tukashuhudie wenyewe maana nakuwa mgumu kidogo kuiamini hii post!Samahani lakini.
 
Mkuu tumia akili pia katika kufikiri, Ziwa Nyasa limepakana na nchi tatu, kama Tanzania na Malawi watachukua nusu kwa nusu, Msumbiji nao watachukua nini?

Hv mgawanyo wa lake Victoria upo vipi mkuu?
 
leo umenena ila huwa ckuelewa ur what sinagogi..gamba ama gwanda.

Mimi sina chama mpaka sasa coz i dont trust politicians wa vyama vyote so am tryin to make up my mind...kwa wapiga kura mimi niko kwenye kundi la undecided voters.
 

simply usione aibu miaka saba sasa nchi haina rais yupo mtalii fulani tu hivi!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…