Kikwete: Wapinzani ndio wanaochochea vita dhidi ya Malawi

Kikwete: Wapinzani ndio wanaochochea vita dhidi ya Malawi

Status
Not open for further replies.
Kweli Malawi wanatisha kijeshi na wanahoja zenye nguvu.

Rais wetu kaingiwa na woga mkubwa sana baada ya kuelezwa facts na Wamalawi.

Na baada ya kugundua nchi yetu haina jeshi bali kikundi cha walevi wanaojua kucheza gwaride na kufyeka nyasi tu, ina mabomu mabovu mabovu yaliyo-expire na kulipuka ovyoovyo, sasa kanywea na kuchanganyikiwa hivyo kuanza kuropoka ovyo.
 
Mkuu tumia akili pia katika kufikiri, Ziwa Nyasa limepakana na nchi tatu, kama Tanzania na Malawi watachukua nusu kwa nusu, Msumbiji nao watachukua nini?

Umesomeka mkuu Concrete, kejeli ndo majibu yako. Akili yako ingefanya kazi angalau kidooooogo, ingekuelekeza kujua kuwa hatupakani na nchi zaidi ya moja kwa upande mmoja. Hata hivyo sishangai kwa kuwa wewe ni miongoni mwa waliofaulu mitihani kwa mtiririko huu wa maswali na majibu.

1) siasa ni. . . . . . . . . . . .
kilimo.

2) chifu wa wazanaki anaitwa. . . . . . . . . . .
wanzagi.
 
Last edited by a moderator:
Source ni BBC au Nyasatimes?Hebu tunaomba utuwekee link mkuu tukashuhudie wenyewe maana nakuwa mgumu kidogo kuiamini hii post!Samahani lakini.

Natumia cmu,nipo Ndovu simanjiro hapa hakuna int.cafe.ila acha kulala sana.kama mimi wa huku mbuga za umasai nimeamka alfajiri nikapanda juu ya mti kutega BBC wewe wa mjini shame on you.
 
Hii ni aibu unless iwe imepikwa....
Malawi watatuona ni dhaifu maana dalili zinaonesha walishaanza kuogopeshwa na kauli za vita.

JK ni janga la taifa bora amalize tu akapumzike. Wazungu na kiingereza chake cha my sister watamuelewa lakini nchi za Afrika rais anatakiwa awe na uwezo wa kujieleza vinginevyo wanamuona kilaza

Mfano Zuma ni kilaza tu lakini uwezo wake wa kujieleza ndo unampa ujasiri

Mbeki kwa upande mwingine msomi ila kushindwa kwake kujieleza ndo kunamfanya mnyonge

JK kilaza mtaji wake mkubwa upo kwenye appearance. Yeye anaamini akichukua ushindi kwenye appearance basi huko kwingine hakuna umuhimu. Ndo maana kila wakati anacross miguu au kila wakati mikono mfukoni hata msimu wa joto
 
swali zuri sana mkuu

uzuri wa hilo swali ni rangi yake ama nnini?
Unamaana msumbiji iko juu ya malawi kiasi kwamba tunapakana nazo kwa upande mmoja!!! Werema utamjua tu! Hawezi dadavua mantiki ya hoja.
 
Kwa kauli za Jk sitashangaa Wamalawi wakiendelea na kutafuta mafuta Pwani ya Tanganyika
 
Umesomeka mkuu Concrete, kejeli ndo majibu yako. Akili yako ingefanya kazi angalau kidooooogo, ingekuelekeza kujua kuwa hatupakani na nchi zaidi ya moja kwa upande mmoja. Hata hivyo sishangai kwa kuwa wewe ni miongoni mwa waliofaulu mitihani kwa mtiririko huu wa maswali na majibu.

1) siasa ni. . . . . . . . . . . .
kilimo.

2) chifu wa wazanaki anaitwa. . . . . . . . . . .
wanzagi.

ungemjibu na si kutoka nje ya mada, Msumbiji nao hawana chochote ziwa Nyassa?
 
Last edited by a moderator:
kama hii habari ni ya kweli sasa nimeamini kuwa Jk naye ni empty head chap! ni kiongozi yupi wa upinzani hata mmoja aliyewahi kuchochea vita na malawi? halafu anaposema katu hatutapigana na malawi maana yake hata wakiingia ndani ya mipaka yetu tutawaacha tu? hiyo kweli ni kauli ya amiri jeshi mkuu,? sikuwa naamini tuna amiri jeshi mkuu muoga! kidiplomasia alitakiwa kusema Tanzania haikusudii wala haina mpango wa vita na Malawi au Jirani yoyote ila ni jukumu lake kama rais na amiri jeshi mkuu kulinda mipaka ya nchi na raia wake! hiyo ingepeleka ujumbe tosha kuwa sio kwa malawi tu ila jirani mwingine yeyote akituchokoza hatutakaa kimya!

Mimi mwenyewe nilipoiona hii topic asubuhi nilidhani uzushi. Kumbe kweli, nimesikia muhtasari wa habari BBC saa 5 asubuhi.
 
Kumbe Mnyika hakukosea ile statement take Bungeni.
 
Kumbe Lowasa, membe na sita ni chadema.
Kuwa mwana-CCM inahitaji uwe na akili ya maiti au mvuta bange.
 
uzuri wa hilo swali ni rangi yake ama nnini?
Unamaana msumbiji iko juu ya malawi kiasi kwamba tunapakana nazo kwa upande mmoja!!! Werema utamjua tu! Hawezi dadavua mantiki ya hoja.
Mkuu hakuna ubishi wala ushindani bali ukweli.
Ziwa Nyasa linapakana na Msumbiji, Malawi na Tanzania. Ramani zinaonyesha hivyo.

Mzozo ni mpaka unapita wapi?
Sheria ya UN unayotaka uitumie kwenye mzozo huu haendani kabisa kabisa na hali halisi ya eneo husika.

Kitu cha hatari ni kutaka kutumia akili za Membe(mgawanyo wa nusu kwa nusu) wakati wahusika ni nchi tatu.
 
Hv mgawanyo wa lake Victoria upo vipi mkuu?

Tanzania 50%, Uganda 44% and Kenya 6%

Lake_Victoria_1968.jpg
 
Kweli Malawi wanatisha kijeshi na wanahoja zenye nguvu.

Rais wetu kaingiwa na woga mkubwa sana baada ya kuelezwa facts na Wamalawi.

Na baada ya kugundua nchi yetu haina jeshi bali kikundi cha walevi wanaojua kucheza gwaride na kufyeka nyasi tu, ina mabomu mabovu mabovu yaliyo-expire na kulipuka ovyoovyo, sasa kanywea na kuchanganyikiwa hivyo kuanza kuropoka ovyo.

Dah!hii ni noma....ha ha ha
 
Wapinzani anaowaongelea ni kina nani? Kina Lowassa? Mende oh sorry Membe? Sitta? Hatuna kiongozi kama kauli ndo hii!!!!
 
Speaking to journalists after a closed discussion with the Malawi President Mrs Joyce Banda in Maputo, Mozambique, the Tanzanian leader said the war mongering comments were coming from overzealous opposition parties in his country who want to score political mileage over the issue.

Nimesikitishwa na kauli hii niliposoma habari hii kwenye website nyasatimes

SOURCE:
Tanzania President rejects war, JB insists whole lake belongs to Malawi | Malawi news, Malawi - NyasaTimes breaking online news source from Malawi
 
Wapinzani anaowaongelea ni kina nani? Kina Lowassa? Mende oh sorry Membe? Sitta? Hatuna kiongozi kama kauli ndo hii!!!!
Mimi ninaamini rais wangu amepitiwa tu, mchakamchaka wa M4C unampa stress sana,

Please Chadema punguzeni kasi ya operation zenu maana zinamchanganya rais anashindwa ku-concetrate kwenye mambo ya muhimu ya taifa letu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom