Kila anachoomba anapewa lakini hataki kutoa penzi

Kila anachoomba anapewa lakini hataki kutoa penzi

Nilikuwa na demu wangu namla vizuri tu ila kwa kuvutana sana tukaja tukachuniana kama mienz mitatu hv tukaanza tena mahusiano kila nikitaka mzigo kona nyingi .....nakuja kusikia kwa watu ana mimba kubwa ya mienz saba.....hahahaha we H Mungu anakuona.

Nasikitika single mama mwingine kaongezeka maana nasikia mwana hasomeki huko.
 
...
 

Attachments

  • Screenshot_20240808-212252~2.jpg
    Screenshot_20240808-212252~2.jpg
    19.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240808-212304.jpg
    Screenshot_20240808-212304.jpg
    24.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240808-212314.jpg
    Screenshot_20240808-212314.jpg
    22.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240808-212323.jpg
    Screenshot_20240808-212323.jpg
    46.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240808-212341.jpg
    Screenshot_20240808-212341.jpg
    27.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240808-212349.jpg
    Screenshot_20240808-212349.jpg
    40 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240808-212359.jpg
    Screenshot_20240808-212359.jpg
    32.7 KB · Views: 3
Miezi 7 na hamna mzigo na mara nyingi wanaonana! Terrible, iko hv huyo manzi kuna mahali anaendaga kunyanduliwa na istoshe ni km anamchora jamaa yako yn anamuona kbs huyu yupo kiganjani hana ujanja.

Kitu cha kufanya ni kujiweka tu pembeni kimyakimya akaze moyo alie pekee yake ndani, alie kdg tu yn chozi likidondoka anyamaze kisha afute namba, anywe maji ya kwenda kisha atulie na maish yke hadi sku atapata mtu mwngne.
 
Kuna rafiki yangu kanilalamikia sana leo, anasema ana mwanamke alimtongoza na wana miezi kama saba hivi.

Kila akimpanga kuja geto anatafuta visingizio ila jamaa anajitoa sana kwa mwanamke, akiomba pesa anapewa, akiomba pesa ya kusuka anapewa, jamaa akiomba waonane wanaonana sehemu kama kwenye migahawa ila akigusia tu kupewa mzigo mwanamke anatafuta sababu na siku hiyo hatatoka kabisa au atafute kaugomvi ili siku ipite.

Pia soma: Uhusiano wa pesa na sex kwenye mahusiano ya kimapenzi

Sasa jamaa kaja kuniuliza kwamba huyu mwanamke atakuwa anampenda kweli? Ananiambia kwenye simu ame seviwa "my favorite❤".

Kwakweli mimi nimeshindwa kumwambia kitu chochote maana mimi pia nina majanga yangu sija yapatia ufumbuzi, jamaa akitaka kumuacha mwanamke anakuwa mgumu kumuachia jamaa
'Kumnyima' huwa ni kanuni ama msg nzuri sana kutumiwa na mwanamke ili kujipa thamani na kumfanya jamaa apate muda wa kujitafakari.

Kutongozana na kufanya mapenzi ni ufuska.

Huyo 'jamaa yako' alikuwa na malengo gani kwa mwanamke huyo?

Kama alitongoza ili baadaye aoe kabisa, ni bora kanyimwa, atapewa muda ukiwadia aache papara, kwanini anataka kuijua siri ya mtungi wakati yeye siyo 'kata'?

Lakini kama alitongoza kwa ajili ya mambo yetu yale, mwambie wala usimfiche kuwa ni bwege, atahongaje kijinga jinga namna hiyo bila faida?

Kuhonga kwa kulainisha huwaga ni mara moja tu, ya pili lazima uwe umekwisha kula na kusaza!
 
Unafikiri yana ushauri sasa🤣🤣🤣
Mpaka mwenyewe utakapoamua kufanya maamuzi.
 
Kuna rafiki yangu kanilalamikia sana leo, anasema ana mwanamke alimtongoza na wana miezi kama saba hivi.

Kila akimpanga kuja geto anatafuta visingizio ila jamaa anajitoa sana kwa mwanamke, akiomba pesa anapewa, akiomba pesa ya kusuka anapewa, jamaa akiomba waonane wanaonana sehemu kama kwenye migahawa ila akigusia tu kupewa mzigo mwanamke anatafuta sababu na siku hiyo hatatoka kabisa au atafute kaugomvi ili siku ipite.

Pia soma: Uhusiano wa pesa na sex kwenye mahusiano ya kimapenzi

Sasa jamaa kaja kuniuliza kwamba huyu mwanamke atakuwa anampenda kweli? Ananiambia kwenye simu ame seviwa "my favorite❤".

Kwakweli mimi nimeshindwa kumwambia kitu chochote maana mimi pia nina majanga yangu sija yapatia ufumbuzi, jamaa akitaka kumuacha mwanamke anakuwa mgumu kumuachia jamaa
Mwambie aende akajiangalie kwenye kioo alafu amwambie Yule jamaa wa kwenye kioo huo upumbavu anaoufanya.
Hakika jibu atalipata hapo kwenye kioo.
 
Una uhakika hii issue ni ya jamaa yako na sio wewe mwenyewe?
 
Kuna manzi ya kilokole ilinifanyiaga huu utapeli nikapita na best yake mamaee
 
Back
Top Bottom