Kila anayefanya mahojiano wasafi fm/tv kwanini aulizwe kuhusu Diamond?

Kila anayefanya mahojiano wasafi fm/tv kwanini aulizwe kuhusu Diamond?

Hio ndio sababu ya kupunguza makali ya kipindi,domo anataka atajwe tajwe kila kona ndani ya vipindi vya wasafi.

Ila jamaa wangekua wabunifu wakauliza maswali ya kiundani zaidi kipindi kingekuwa juu
Mnachekesha Kwaio wakiulizwa kuhusu Diamond Platnumz kipindi hakipo juu?
Ukizingatia Station yenyewe ndo kwanza inaanza.
Je ikikamilika si itakuwa zaidi ya maneno yenu haya.
 
Mkipewa maoni msiwe mnapanic. Soma comment uelewe sio kila msanii aulizwe kuhusu domo mbona kuna maswali mengi ya kipaparazi mazuri tu.

Sasa msanii anaulizwa kuhusu domo jibu lake linaangaliwa kama ni zuri au baya kisha maswali ya maana hayaendelei inabaki gossip nyepesi
Mnachekesha Kwaio wakiulizwa kuhusu Diamond Platnumz kipindi hakipo juu?
Ukizingatia Station yenyewe ndo kwanza inaanza.
Je ikikamilika si itakuwa zaidi ya maneno yenu haya.
 
Mkipewa maoni msiwe mnapanic. Soma comment uelewe sio kila msanii aulizwe kuhusu domo mbona kuna maswali mengi ya kipaparazi mazuri tu.

Sasa msanii anaulizwa kuhusu domo jibu lake linaangaliwa kama ni zuri au baya kisha maswali ya maana hayaendelei inabaki gossip nyepesi
Maoni sio lazima yakubaliwe. Kila kampuni na utaratibu wao wa kiuendeshaji. Ndio maana kuna vision na mission. Halafu boss hanuniwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wasafi tu hata radio,Tv na hata online Tv nyingine huwa wanamzungumzi huyu jamaa kwenye interview zao hata clouds na Earadio kama n msikilizaji mzuri utagundua hlo japo huwa sio direct ko sio hajabu labda kama ww umewaona hao wasafi tu
Clouds na Ea hakuna upuuzi kama huo..
 
Kuna watu vilaza sana hao watu hata ukweli huhisi ni chuki
Hiv we jamaa ujistukii kila Uzi wako lazima umbuliwe kwa chuki zako za kijinga Mara ulete udini Mara Nini mbona wewe hapa umemtaja Diamond.
 
Back
Top Bottom