Kila anayeichukia Israel awe anatazama hii ramani na kupata aibu

Kila anayeichukia Israel awe anatazama hii ramani na kupata aibu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Nimejikuta natafuta Israel kwenye hii ramani, inabidi uitafute sana tu yaani, majitu ya uarabuni yanatia aibu, halafu na huku Afrika kuna wavaa kanzu ambao wanapaswa kuitazama hii picha wajipige vibao vya uso, ni aibu sana kwa kweli, haileti mantiki, nashindwa nicheke, nilie au nihuzunike.
Na hapa Iran haijawekwa...

Ama kwa kweli Israel inalindwa na Mungu aishie, kajidhihirisha enzi zile na mpaka leo anajihidhirisha.

F9G_aKyXgAArexq


403C0D4C00000578-4499318-image-a-21_1494617030668.jpg




View: https://twitter.com/HilzFuld/status/1716363395442639096

brazaj hii inakuhusu na wenzako
 
Nimejikuta natafuta Israel kwenye hii ramani, inabidi uitafute sana tu yaani, majitu ya uarabuni yanatia aibu, halafu na huku Afrika kuna wavaa kanzu ambao wanapaswa kuitazama hii picha wajipige vibao vya uso, ni aibu sana kwa kweli, haileti mantiki, nashindwa nicheke, nilie au nihuzunike.
Na hapa Iran haijawekwa...

Ama kwa kweli Israel inalindwa na Mungu aishie, kajidhihirisha enzi zile na mpaka leo anajihidhirisha.

F9G_aKyXgAArexq


403C0D4C00000578-4499318-image-a-21_1494617030668.jpg




View: https://twitter.com/HilzFuld/status/1716363395442639096

brazaj hii inakuhusu na wenzako

Tunachotaka Israel ajibu mashambulizi badala ya hizi blaa blaa.

Kichapo Cha juzi wamehangaika West nzima kujihami na hapo ni baada ya kupewa taarifa ya shambulizi 72hrs still wakashindwa Kuzuia makomboyna drone kutua huko.

This time Iran imesema haitatoa siku 12 Wala taafa Kwa mtu,itashusha mzigo og.
 
Nimejikuta natafuta Israel kwenye hii ramani, inabidi uitafute sana tu yaani, majitu ya uarabuni yanatia aibu, halafu na huku Afrika kuna wavaa kanzu ambao wanapaswa kuitazama hii picha wajipige vibao vya uso, ni aibu sana kwa kweli, haileti mantiki, nashindwa nicheke, nilie au nihuzunike.
Na hapa Iran haijawekwa...

Ama kwa kweli Israel inalindwa na Mungu aishie, kajidhihirisha enzi zile na mpaka leo anajihidhirisha.

F9G_aKyXgAArexq


403C0D4C00000578-4499318-image-a-21_1494617030668.jpg




View: https://twitter.com/HilzFuld/status/1716363395442639096

brazaj hii inakuhusu na wenzako

huna akili wewe, Israel ni Marekani + washirika wao + vibaraka wao. ISRAEL kama yenyewe ilivyo haina nguvu yoyote ndio maana miezi 6 sasa wameshindwa kuwakomboa mateka wao kutoka kwa wanamgambo wa Hamas. Na humo kwenye kijani mote Marekani ana base zake .
 
Tunachotaka Israel ajibu mashambulizi badala ya hizi blaa blaa.

Kichapo Cha juzi wamehangaika West nzima kujihami na hapo ni baada ya kupewa taarifa ya shambulizi 72hrs still wakashindwa Kuzuia makomboyna drone kutua huko.

This time Iran imesema haitatoa siku 12 Wala taafa Kwa mtu,itashusha mzigo og.

Tunachotaka ni Iran ifanye kweli, majemedari wameuawa saba na yenyewe imeshindwa kulipa hata mmoja, imekwenda kujeruhi kabinti....mnatia huruma wavaa dera.
 
Tunachotaka Israel ajibu mashambulizi badala ya hizi blaa blaa.

Kichapo Cha juzi wamehangaika West nzima kujihami na hapo ni baada ya kupewa taarifa ya shambulizi 72hrs still wakashindwa Kuzuia makomboyna drone kutua huko.

This time Iran imesema haitatoa siku 12 Wala taafa Kwa mtu,itashusha mzigo og.
Wote wale wamejipendekeza tu mkuu, kwani Israel aliwaalika wakazuie?

Na ameamua kumpuuza, bomu 3000 zinasababisha dhara dogo kwa mtoto?

Hata wewe ungewadharau hao Iran
 
Tusamehe tu maana ndio hivyo, huwa hata tunatukanwa moja kwa moja ila shobo ndio zetu

screenshot_20220521-114037_gallery-jpg.2240761
We sijui utakuwa kabila ngani huko Kenya au ni Ndugu yake Embalambamba na yule aliyeimba Yesu Ninyandue maana unapenda sana bifu na hawa wavaa Kobazi. 😀😃😄😁😆😅🤣😂
 
Tunachotaka Israel ajibu mashambulizi badala ya hizi blaa blaa.

Kichapo Cha juzi wamehangaika West nzima kujihami na hapo ni baada ya kupewa taarifa ya shambulizi 72hrs still wakashindwa Kuzuia makomboyna drone kutua huko.

This time Iran imesema haitatoa siku 12 Wala taafa Kwa mtu,itashusha mzigo og.
We nzi wa Kijana unashabikia vita ya Iran wakati vita na Mange tu kule Insta imewashinda?😀🙂🙃🫠😉😁😆
 
Nimejikuta natafuta Israel kwenye hii ramani, inabidi uitafute sana tu yaani, majitu ya uarabuni yanatia aibu, halafu na huku Afrika kuna wavaa kanzu ambao wanapaswa kuitazama hii picha wajipige vibao vya uso, ni aibu sana kwa kweli, haileti mantiki, nashindwa nicheke, nilie au nihuzunike.
Na hapa Iran haijawekwa...

Ama kwa kweli Israel inalindwa na Mungu aishie, kajidhihirisha enzi zile na mpaka leo anajihidhirisha.

F9G_aKyXgAArexq


403C0D4C00000578-4499318-image-a-21_1494617030668.jpg




View: https://twitter.com/HilzFuld/status/1716363395442639096

brazaj hii inakuhusu na wenzako

Mama Ngina amekula bongo za wakenya. 24/7 upo kwenye social media za Tanzania. Hivi lini mtaziondoa slums hapo Nairobi?
 
Tunachotaka Israel ajibu mashambulizi badala ya hizi blaa blaa.

Kichapo Cha juzi wamehangaika West nzima kujihami na hapo ni baada ya kupewa taarifa ya shambulizi 72hrs still wakashindwa Kuzuia makomboyna drone kutua huko.

This time Iran imesema haitatoa siku 12 Wala taafa Kwa mtu,itashusha mzigo og.
Unategemea nini kama jedwari lenyewe la super power limetengenezwa na wenyewe Israel.
Kwanza hata hiyo nafasi ya chini wamejiweka kwa aibu tu, baada ya kujua kwamba wangejiweka namba 3 au 5 watu wangewashtukia mapema. Jamaa hawana tofauti na Kenya wanapojiona bora kwa kila kitu kuliko nchi nyingine yoyote ya East Africa.

Nchi zote walizoziorodhesha hapo, ni nchi yao pekee ndo inayotegemea misaada ya kijeshi na kiuchumi kutoka Marekani, UK na Ujerumani.

Ni sawa sawa na kijana anaejiona tajiri kupitia pesa anazopewa na wenzake, badala ya kupambana mwenyewe ili apate za kwake 😂😂😂

Nchi ya hovyo kabisa.
 
Nchi inasaidiwa na wazungu wenzao wote wa magharibi afu mnasema wana uwezo kijeshi..
Upuusi
 
Back
Top Bottom