Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 422
Tatizolako hutaki kuolewa unataka kutongozwa wenyeumli mkubwa wanataka kuoa shauli yako hangaika kutongozwa utakutana na wavaa katakei maanayake wako tayalitayali kuvua suluali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh!!..Mkuu acha kumsaliti mama watoto, hebu muheshimu mkeo bwana.
Umeishi na nae mpaka umefikisha umri huo halafu leo unataka umsaliti aisee!!....
halafu siku hizi sipend mwandiko wako ujue.............unaniudhi, ulikuwa na hati nzri sana ila sasa umeichakachua sijui King'asti kakuharibu ama??
he...sasa DSpecial rafiki yangu ni wapi nimemsaliti, sijamheshimu...hebu nionyeshe tu au umesoma kiarabu apo juu? Halafu umri huu ndo maisha yananoga sasa...nyie wa 24yrs old bado mnaishi ile kimafundisho ya utotoni mkiwa wakubwa mnajua what you have been missing....pamoja na irrelevance ya uliyokuwa unaamini!
CC: gfsonwin, KakaKiiza, Asprin, Mtambuzi, Mentor
ngoma imepata mchezaji!
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
igweeeeeeeeeeeeeeeee!!!!ngoma imepata mchezaji!
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee