Kila atakayeifunga Simba kusajiliwa?

Kila atakayeifunga Simba kusajiliwa?

Wapo majaribioni Yanga wote hao, wakifuzu Simba tunawachukua
Nasikia wana mikataba ya miezi sita tu, hahaha hawa jamaa kenge kweli, afu akili yao wanawaza kuponda simba huku timu lao lipolipo tu
 
Sio walilegea acha uongo, simba waliingia nae mkataba wa awali, baada ya kufanya tafiti wakaona hamna mchezaji pale, wakavunja ile contract ndio wakamchukua mugalu
Unajua Sarpong ilikuwa aende Simba na hata media za Rwanda zikaripoti hivyo? Simba wakalegea kidogo ili Yanga wamgombanie, na iwe platform nzuri ya Simba kumuona kama anafaa. Sasa tumeona hatufai, tunaangalia wengine kama wapo wapo
 
Bro huyo sio simba ni uto anaejifanya simba, hata usitumie nguvu kubwa kumponda, uto akili hawanaga kabsa, !!
Kwani wewe umeajiriwa kuja JF kupinga pinga kila jambo linalofanywa na SIMBA, simba siyo Siasa ulizozoea kupingapinga. Hapa JF una Nyuzi kibaooooo zote Unapinga kila kinachoendelea ndani ya Simba, kama inakuuuma nenda Klabuni uongee nao siyo kila jambo kuwekwa mitandaoni. Huenda hata kadi ya Klabu hunaaa kazi ni kutunisha misuli tu.
 
Kwani wewe umeajiriwa kuja JF kupinga pinga kila jambo linalofanywa na SIMBA, simba siyo Siasa ulizozoea kupingapinga. Hapa JF una Nyuzi kibaooooo zote Unapinga kila kinachoendelea ndani ya Simba, kama inakuuuma nenda Klabuni uongee nao siyo kila jambo kuwekwa mitandaoni. Huenda hata kadi ya Klabu hunaaa kazi ni kutunisha misuli tu.
😕😆😆😆
 
Usajili wa mihemko kama ule wa morison,saizi wanataka kumtema wanamsingizia ugonjwa!
Morrison huyu huyu ambaye kila akifunga goli Utopolo mnaweweseka na kesi uchwara ya CAS?
FB_IMG_1612867223083.jpg
 
Back
Top Bottom