Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Alikuwepo mungu na maraika wake watiifu akatukuzwa akasifiwa aka abudiwa lakini akaja aka asiwa
Tena na maraika mtiifu wa kuaminika kwake
Walikuwepo wababe wa dunia Wala rushwa majambazi wababe wenye misuri Kama ya ng'ombe watu makatiri wenye uwezo wa kifedha na mamlaka leo hawapo Tena
Maisha tuna pita tujifunze kuishi vizuri nawatu
Yuko wapi daudi,sauri,suremani,ezekia, Joshua,msa,farao,nk?
Wapii papii kocha,madiru system,yondo sister,Kanda bongo Mani,arusi ma bele,ruketo,nk?
Wako wapi akina sinta,Nita,nk?
Wako wapi akina nyelele,jomo Kenyatta,moy,jpm,mkapa,nkuluma,Mobutu, Mandela,casto,amin dada,obote,nk?
Wote hao ime Baki history hata Mimi na wewe kesho yetu ipo hivyo tuta kuwa stories
Tujifunze kuishi vizuri na watu ndugu zangu ili kesho habari zetu ziwe mfano mzuri kwa vizazi vijavyo
Niwa takie jioni njema ya jumapili njema
Tena na maraika mtiifu wa kuaminika kwake
Walikuwepo wababe wa dunia Wala rushwa majambazi wababe wenye misuri Kama ya ng'ombe watu makatiri wenye uwezo wa kifedha na mamlaka leo hawapo Tena
Maisha tuna pita tujifunze kuishi vizuri nawatu
Yuko wapi daudi,sauri,suremani,ezekia, Joshua,msa,farao,nk?
Wapii papii kocha,madiru system,yondo sister,Kanda bongo Mani,arusi ma bele,ruketo,nk?
Wako wapi akina sinta,Nita,nk?
Wako wapi akina nyelele,jomo Kenyatta,moy,jpm,mkapa,nkuluma,Mobutu, Mandela,casto,amin dada,obote,nk?
Wote hao ime Baki history hata Mimi na wewe kesho yetu ipo hivyo tuta kuwa stories
Tujifunze kuishi vizuri na watu ndugu zangu ili kesho habari zetu ziwe mfano mzuri kwa vizazi vijavyo
Niwa takie jioni njema ya jumapili njema