Kila ikifika saa nane naota wezi ba napiga kelele msaada pls wiki sasa nasali sana usikupia

Kila ikifika saa nane naota wezi ba napiga kelele msaada pls wiki sasa nasali sana usikupia

Kwa waliowahi kukutana na hii kemeeni hapohapoo rohoya umasikin inakujiaaa

M kipindi flan nilikuwa mkoan moro nalima nakaribia kuvuna nkanza ota ndoto kama hizi naishia kuwambia watyu bar naona tumeanza kutestiana hata mavuno bado jaman

Nkauza mzigooo nkatyuma hela kadhaa dar hizi zilizobakia siku narudi hoteli aka lodge wakanityt sehemu kama naota wakanza na mil plus....sinahamu
.ikiota hizi amka kemeeaa hapohapo

Wanacheka nkajua wenzangu weeeh naijua hii

Mwenzangu nae wiki 2 aknza ota haya madubwasha anashtuuka huna hamuya kulala tena aisee akacheka nilipomshauri

Tukaenda sehemu flani kama wanne baada ya tukio langu
nawaendesha tukafika jamaa akalipa matumizi kadhaaaaa

Kurudi anagoma acha ujinga unarudijemdahuu kamademu aisee nikikumbuka yalionikuta nkawapa funguo huyooo Lodge

Masaa ma3 napigiwa simu na jamaa aliefanikiwa kukimbia kaka nduguyo anatoka damu uku wametutyt sehemu tuliachagari pale tukahamia kwingjine kwa mguuuu

Nkajibu naijuaaaa hioooo polensana

Sijarudi tena moro
Hii ndo lugha gani? "nikatyuma"watyu"
Badili jina hilo lina mapepo ya kisulisuli...
 
Back
Top Bottom