Kila Jambo kwa Kiasi, lolote likitokea (Mke) akabadili maamuzi

Kila Jambo kwa Kiasi, lolote likitokea (Mke) akabadili maamuzi

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Sina Imani Sana, mke niliemuoa,

Na kila jambo ninalofanya nafanya kwa Kiasi.

More Expection, inaweza nifikisha pabaya, kweli nampenda mke wangu Ila nimejipa kiasi ili lolote likitokea niwe salama.

Kuoa/ kuolewa ni kitendawili chenye fumbo kubwa sana.

Naishi na mke wangu kwa Tahadhali ili lolote likitokea niweze kulikabiri, kihisia na kiuchumi.

Kujilinda kihisia na kiuchumi nisipoteze.
 
Basi ishakushinda hiyo...hutoboi...,kuishi kwa kuviziana means hamwaminiani...hamwaminiani means hamtodumu milele
yaani unataka jamaa apende kwa kutumia hisia badala ya uhalisia ili ikitokea amepigwa kitu kizito iwe ndio kwisha habari?. Women mnakawaida ya kuteteana yaani kamfumo flani hivi defensive mechanism!
 
Kuliko kuishi na wahka wa nafsi kwanini usiamue moja tu mkaachana kwa heri kuliko kusubiri matukio mje kuachana kwa shari.

Likija swala la mahusiano hakuna nusu hisia. Ni aidha mnapendana na kutaka kuwa pamoja ama hakuna mapenzi ambapo ni bora kila mmoja ashike 50 zake.

Maisha ya kuishi kwa kuviziana na shaka ni maisha ya mateso tu. Moja ya sifa ya mahusiano ni kupata faraja kwa mwenzio. Pakiwa hakuna faraja basi hakuna mahusiano.
 
Back
Top Bottom