Kila kitu kilishapangwa

Kila kitu kilishapangwa

Hii inaitwa dejavu yaani unayoyapitia yalishaandikwa na huwezi yabadilisha.
Kuna wakati yanaweza kukutokea kama ndoto hivi. Kidini tunaiita ilham.
Ukiamini juu ya hili maisha hayatakupa stress sana.
Utapambana ukikosa utasema si risk yangu.
Sasa wale wazee wa kufosi ndio wataenda mpaka kwa sangoma trying to fix it. Itawork kwa muda tu lakini kwakua hukuandikiwa hivyo itarudi kwenye hali yake ya kawaida.
 
Hii inaitwa dejavu yaani unayoyapitia yalishaandikwa na huwezi yabadilisha.
Kuna wakati yanaweza kukutokea kama ndoto hivi. Kidini tunaiita ilham.
Ukiamini juu ya hili maisha hayatakupa stress sana.
Utapambana ukikosa utasema si risk yangu.
Sasa wale wazee wa kufosi ndio wataenda mpaka kwa sangoma trying to fix it. Itawork kwa muda tu lakini kwakua hukuandikiwa hivyo itarudi kwenye hali yake ya kawaida.
Mmmhh na sio qadar ?
 
Wewe ndo ulipanga uzaliwe wapi, Uzaliwe na nani na uzaliwe sehemu gani, Wewe ndo uliamua haya mapito.unayopitia."Path life" uyapitia ili kufika "Destiny" uliyoamua..

Sasa baada ya kupanga hivyo Umekuja duniani ili upate funzo na Pia ujue kwanini ulichagua maisha hayo na kama utapata uwezo wa kujua hayo uweze kupunguza au kunegotiate Uchungu..

Kumbuka tu unapozaliwa mpaka kupika miaka miwili au Mitatu huwa unajua kabisa kuhusu Mambo hayo.. maana unakuwa umepigwa Partially Amnesia ila ukikua unapigea Totaly amnesia ni jukumu lako wewe kutafuta ukweli huo uliofichwa ndani yako...

Na Maelezo hayo yamehifadhiwa vyema kabisa (Kitabu chako upande wa kuume)
Doctor hapa penyewe umetulisha matango pori. Inawezekana vipi upange hayo yote wakati unakua hauna ufahamu wowote?
 
Hakuna angependa atengeneze masikini.
Mafanikio ni consistency ya jumla maamumizi madogomadogo...yaliyofanyika vizuri...ndio hupelekea mafanikio


Vilevile.....umasikini hivyohivyo....ukitaka kuamini

Fuatilia mataji walivyo wengi kuna tabia flan wanashea


Vilevile hata kwa masikini hivyohivyo
 
Well, inaweza ikawa hivyo. Lakini mafundisho ya Abdullah kupitia mwanafunzi wake Neville, yanatoa nafasi ya kubadili chochote wakati wowote unconditionally kwa kuwaza (imagination) na kuamini tu (faith). Na hii mimi nimeprove personally , sio mara moja, sio mara 10, sio mara 100, mara nyingi mno.

Kuna wakati hadi najiona mchawi. Kuna siku niko chuo nimemaliza boom lote, nina njaa, nikakutana na hii theory, immediately, nikaweka neno ‘DON’ kwenye akaunti zangu za social media, i acted and felt as though i am a ‘DON’, kilichofuata hata sielewi.., hadi Maxence Melo aliniita DON, wakati hata sikuwahi kuwaza kuonana nae. It has been like that ever since, shukuru sana nakupa hii siri.

Nashangaa sana hawa akina Mwamposa na wenzake wanapojipa sifa na utukufu kana kwamba wana uteule flani hivi, ukweli wanaujua, (Wana Mastery ya imagination na faith, kuwa na imani na Mungu {Consiousness} ambaye hujawahi kumuona, na ukaamini kabisa kwamba anaweza sio jambo dogo, (muulizeni Kiranga) na hicho ndio wanachotushinda, imani yao ni kubwa mno!, hata hapa wapo wataniona kama kichaa, ni ngumu kuamini!) ….ila hawawezi wakausema maana ita waondolea umuhimu kwa yale wanayoweza kuyafanya, na ukweli ni huo, kwamba Mungu ni ‘Consiousness’ yako kichwani kwako, nje ya hiyo, hakuna Mungu mwingine, na Mungu ni mmoja tu. Ukiwaza (imagine) na kwa imani kuu (faith) ukakubali kwamba ulichokiwaza kimekuwa hata kabla hakijawa, basi huo ni uumbaji kabisa umefanya, na ni Mungu mwenyewe anafanya kupitia wewe. Na hapo ni kama ‘umeconceive’ kupitia hilo wazo, na unachotakiwa ni kusubiri ujauzito wa wazo ukue na kuzaliwa.

As a final testimony, last year, niliwaza na nikaamini without a shred of doubt (usimjaribu….), kwamba nina nyumba 30 hapa Dar, kwamba nachukua kodi tu, bila hata kuwa na cash wala kiwanja cha kujenga hata 2 tu at a go. Ila one year later, bila hata kujua imewezekanaje, na imekuwa.
I know najua mimi huwa na Acces hizo energy kwa kuwaza kuProject concious na Meditation throgh different mudras Na nimefanya mambo mengi kuwezekana ikiwa pamoja na kupata information ya mambo yaliyoshindikana kabisa..

So nakuelewa sana ukisema hivyo kwa sababu Proof ninayo hata mimi..
Kuna Power na Energy kubwa sana ambayo binadamu tukiijua kuitumia kwa only 50% Tutakuwa watu tusioshikika hata robo
 
According to science?

Au mimi nimezaliwa tofauti na watu wengine?

Sikumbuki chochote kuhusu kuchagua kuzaliwa katika familia fulani

Ila najitambua tu mimi ni mzaliwa wa familia fulani, ambapo kwangu kuzaliwa haikua option ila nimejikuta tu tayari nipo duniani.
Ni story ndefu mkuu!
Not According to science
 
safuher

Hiyo ni qadar Sheikh, kwa lugha ambayo ni wengi wataielewa inaitwa predestination.

Hili somo ni gumu sana Sheikh.

Na nina kauchovu fulani, ngoja kakiondoka kidogo inshaallah nitachangia ndugu yangu.

Ila kitu ambacho watu tunabidi tufahamu ni kwamba Mungu hakuchagulii maisha yako yawe hivi ama vile. Bali Mungu yeye alishaona maisha yako yatakuwaje kuanzia A mpaka Z. Ameshaona machaguo yetu yatakuwaje. Kipi tutachagua na tukichagua mustakabali wetu utakuwaje. Kipi hatutokichagua na mustakabali wetu wa maisha utakuwaje anafahamu. Yeye hivyo ameshaviona.

Mathalani; ameshakuandikia kwenye kitabu kuwa mtu A atamuua mwenzake mtu B kwa kumchoma na kisu. Suala si kwamba Mungu amekuandikia alishapanga umuue mwenzako kwa kumchoma kisu, hapana! Bali yeye alishaona na kujua kuwa mtu A atamuua mtu B kwa kumchoma na kisu.

Kwa lugha nyepesi ya kisasa tutasema Mungu yupo nje ya muda. Sisi viumbe wake tumo ndani ya muda. Na muda ni matukio.

Hivyo matukio yetu yoote na machaguo yetu Mungu alishayaona. Ili kuonyesha uungu wake kitabu kimeshatangulia na maisha yetu yote ameshayaona hivyo kila kitu kuhusu sisi kilishaandikwa kutokana na machaguo yetu ya kwetu sisi wenyewe. Elimu ya Mungu ni kubwa sana haya mambo ni mazito mno!
 
Sasa mkuu ,mbona binadamu asilimia zote wana mipango mizuri ,ila asilimia kubwa mambo yanaenda tofauti?
Mambo unayopanga sasa ni tofauti na mambo uliyoyapanga kabla hujaja duniani..
Kinachozungumziwa ni Kuwa mipango yote mpaka hatima yako..
Tayari ulikwisha ipange kabla ya kuja duniani
 
Back
Top Bottom