Kila kitu kimekuwa fake: Chumvi, sukari, sabuni, viberiti

Kila kitu kimekuwa fake: Chumvi, sukari, sabuni, viberiti

Unanunua sururu tatu, jembe tatu na chepe tatu, by the time unamaliza kujenga foundation nazo zimeisha.
 
Bidhaa za Kenya ndio zenye ubora, hizi za hapa nchini ni uchafu mtupu.
Unakuta made in Kenya, lakini uhalisia ni mchakachuo toka Mwananyamala. Now days everything is fake even our id's.
 
Usinunue viberiti vya korie nakutahadharisha,usinunue maji ya kilimanjaro yana chumvi kwa mbali.
Nunua wembe wa bic ni original
 
Dawa ni kuimport tu hakuna namna. Watanganyika biashara hatujui
 
Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto

Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu

Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti

Kuna ushahidi mkuu? What if umezeeka na hivyo taste buds zako zimeanza kupotenza uwezi ukilinganisha na zamani? Au kuna majibu ya kimaabara yaliyothibitisha hizo hoja? Kama ni kweli tunaweza kuwa na lawsuit hapa na wahanga wa ufeki huu wakalipwa fidia mufti sana
 
hivi kiwanda cha kibo match kilienda wapi? hivi kweli tuagize viberiti vya njiti china? are we mud?
Mbona kiwanda cha viberiti kipo Makonde hapo Mbezi Beach
 
Unakuta made in Kenya, lakini uhalisia ni mchakachuo toka Mwananyamala. Now days everything is fake even our id's.
Siongelii vilivyoandikwa, naongelea vya Kenya kabisa. Kama unaweza kuvipata toka huko, ama kwenye chanzo cha uhakika.
 
Back
Top Bottom