Dali Mpofu
Senior Member
- May 9, 2021
- 173
- 328
Tumia vya kenya vina ubora ukilinganisha na izi za kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm sure we're not mud, though we could be mad 😆😆are we mud?
We dada ukovizuri hadi tambi unahesabu.Da basi aliyekuoa anarahaZamani Tambi zilikua 487 kwenye kimfuko, siku hizi wanaweka 350 bila haya
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃😃😀Hata VINYEO VYA ZAMANI vilikuwa imara na vyenye marinda madhubuti.
Vinyeo vya enzi za mwalimu.
Siku hizi watoto wanajamba tu, akikaa anajamba, akisimama anajamba, sijui wana shida gani.
Zamani tulikuwa hatujambi kabisa.
Cc: Poor Brain cocastic dronedrake Yohimbe bark The Icebreaker Mzee wa kupambania
Unakuta made in Kenya, lakini uhalisia ni mchakachuo toka Mwananyamala. Now days everything is fake even our id's.Bidhaa za Kenya ndio zenye ubora, hizi za hapa nchini ni uchafu mtupu.
Sometimes tunatafutiana ban za bure!!! Anyway, vijana wa siku hizi mko na harufu ya kinyesi. Na mtazibuliwa saanaWe dada ukovizuri hadi tambi unahesabu.Da basi aliyekuoa anaraha
Wewe hvi tufanye nn uachane na haya maneno yako 😂😂😂🙌🙌🙌Hata VINYEO VYA ZAMANI vilikuwa imara na vyenye marinda madhubuti.
Vinyeo vya enzi za mwalimu.
Siku hizi watoto wanajamba tu, akikaa anajamba, akisimama anajamba, sijui wana shida gani.
Zamani tulikuwa hatujambi kabisa.
Cc: Poor Brain cocastic dronedrake Yohimbe bark The Icebreaker Mzee wa kupambania
😀😃😃😃😂😂😂😂Sometimes tunatafutiana ban za bure!!! Anyway, vijana wa siku hizi mko na harufu ya kinyesi. Na mtazibuliwa saana
Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto
Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu
Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
Mbona kiwanda cha viberiti kipo Makonde hapo Mbezi Beachhivi kiwanda cha kibo match kilienda wapi? hivi kweli tuagize viberiti vya njiti china? are we mud?
Siongelii vilivyoandikwa, naongelea vya Kenya kabisa. Kama unaweza kuvipata toka huko, ama kwenye chanzo cha uhakika.Unakuta made in Kenya, lakini uhalisia ni mchakachuo toka Mwananyamala. Now days everything is fake even our id's.