Kila kitu ni Samia Samia Samia. Serikali Iko wapi?

Kila kitu ni Samia Samia Samia. Serikali Iko wapi?

Naona Kila jambo ni lazima liitwe Samia. Hivi Serikali inafanya kazi gani kama kila kitu kinafanywa na Samia Hassan Suluhu!?

Nasikia "Birthday" yake baadhi ya huduma za Afya zitatolewa Bure!
Walipo kuja na slogan ya kazi iendelee manayake kazi ya kusifiana sifiana mwanzilishi alikuwa JPM kwahiyo mpaka sasa mwwndo ni ule ule
 
Na ndo mana anapata confidence ya kujiteua, yeye mwenyewe hajawahi kukemea ujinga huu, na huu ujinga hauwezi kukuta nchi nyingine yoyote dunia hii, zunguka uje niambie
 
Naona Kila jambo ni lazima liitwe Samia. Hivi Serikali inafanya kazi gani kama kila kitu kinafanywa na Samia Hassan Suluhu!?

Nasikia "Birthday" yake baadhi ya huduma za Afya zitatolewa Bure!
Gloves Zitakuwepo Siku Hiyo Hawatalipishwa 50000/=TSH Wamama Wanao Taraji Kujifungua??
 
Hadi watoto wa shule wamemezeshwa sumu hiyo..wakihojiwa wanamwaga shukrani Kwa mama.
 
Naona Kila jambo ni lazima liitwe Samia. Hivi Serikali inafanya kazi gani kama kila kitu kinafanywa na Samia Hassan Suluhu!?

Nasikia "Birthday" yake baadhi ya huduma za Afya zitatolewa Bure!

Upi Afrika mkuu, eneo linaongoza kuwa na watu wenye udumavu wa akili...
 
Naona Kila jambo ni lazima liitwe Samia. Hivi Serikali inafanya kazi gani kama kila kitu kinafanywa na Samia Hassan Suluhu!?

Nasikia "Birthday" yake baadhi ya huduma za Afya zitatolewa Bure!
Jitahidi watu wasijue huna akili
 
Huu ujinga ulianza kipindi cha Mwendazake,Mama kaamua kuundeleza.
Magu hakuhitaji promo za kipumbavu .. yeye mwenyewe aliingia field na kuhakikisha yanayosemwa kuna Waziri mmoja alimsifia sifia alipomaliza hotuba yake akamtumbua palepale..
 
Kuna huyu anaitwa Ndumbaro anajitoa ufahamu kbs. Nchi ya kijinga sana hii.
 
Naona Kila jambo ni lazima liitwe Samia. Hivi Serikali inafanya kazi gani kama kila kitu kinafanywa na Samia Hassan Suluhu!?

Nasikia "Birthday" yake baadhi ya huduma za Afya zitatolewa Bure!
Kabisa, wapo watu watenda kazi wengine wa serikali manake ni kama wao hawapo.
 
Back
Top Bottom