Kila kitu ni UONGO

Mbon km nasikia sauti ya Chid aisee sio mwenyewe huyu?
 
Kama Kuna mtu karibu akusaidie unaweza jinyonga bila sababu,funguka waambie nna msongo wa mawazo
 
Ukweli ni kutu gani?

 
Kama haupo katika uso wa ardhi wewe ni mfu and you are nothing in the existance world ..compare to the block or stone which can make a cement or hardrock to make or build the buildings on the world
πŸ€·β€β™‚οΈπŸ€·β€β™‚οΈ nini maana ya kuwepo kwenye uso wa ardhi? Labda ungenielezea sisi binadamu,wanyama e.t.c tupo ndani ,nje au kwenye uso wa ardhi?
 
Ukifika miaka 70 80 ndo utaelewa yoote ni kuukimbiza upepo tu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ nimeshindwa hata kujizuia kucheka aisee......

Kwanza tujue tafsiri ya neno maisha angalau kwa lugha ya kigeni

Neno maisha (life) linatumika kutambulisha existance ya vitu vilivyo hai (wanyama, wadudu n.k) na neno lifeless/non living (kisicho hai) hutumika kutambulisha existance ya vile ambavyo havina uhai na ndiyo maana maiti huitwa lifeless means kiumbe (kile cheny uhai) kinaweza kutoka katima state hiyo ya kuwa hai kwenda kwenye ya kutokuwa na uhai.

Tukirudi kwenye argument yako hii kwamba "maisha ni ku sustain existance au presence kwenye uso wa dunia " tukija kimaana ya neno maisha ambayo nimeitafsiri hapo juu tunagundua unaji contradict maana hauwezi kusema "HILI JIWE LIMEISHI KWA MIAKA 300" it does not make sence kwa sababu jiwe ni non living concept ya maisha haiwi applicable kwa non living maaana HAVINA UHAI.

Jiwe haliwezi kuishi maisha magumu au myepesi ukianza ku apply concept za living kwenye non-living ujue umeanza kukata tamaa ya kuishi au umefikia ukomo wa kufikiria kwako ndiyo maana nikakushauri U SOCIALIZE kuondoa msongo wa mawazo.
 
Wewe somo la.ZAMADAMU limekupita soma ZAMADAMU mkuuuu
Naongea kama mtu mwenye background ya biology nimeisoma physiology kiundani skeletal structure na vitu vinavyo make up hiyo skeletal structure sina muda wa kuangalia vipindi vinavyoelezea history , na theories za scientists on a surface level .

I dig much deeper
 
Ukifika miaka 70 80 ndo utaelewa yoote ni kuukimbiza upepo tu
Ninamshukuru Mungu nimeelewa mapema. Sio wenye elimu, Dini, falsafa, wala thiologia wanaweza kunidanganya tena.

Namshukuru Mungu sikukaa sana kwenye uongo nikapata kujua siri na mambo waliofichwa wengi.

Hii ya kuzeeka ukiwa unaishi na kuutumikia uingo kwa jasho na damu nwisho unazikwa ukiwa unalaani.
 
Kwa wafu kila kitu ni uongo, lakini kwa walio hai kila kitu ni ukweli. Njaa ni kweli, magonjwa ni kweli, furaha ni kweli, huzuni ni kweli,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…