we africans need to wake up,The world is going to next level technology is taking place.kama hatuwezi kuendana nayo sambamba basi tutazidi kuitwa masikini milele.Ukisoma vitabu vya crypt na ukisoma vitabu kadhaa vya juu ya prediction ya dunia katika future utagundua kwamba money as fiat haina stability ya kuhandle some economic problems.example infaltion,ufisadi,wizi na matatizo mbalimbali ya kiuchumiii.
Hizi crypt ni moja ya njia ya kuziba hizo weekness za money na itafanikiwa watu wasitake au watake coz the world needs new money and that is the digital money.ukicheki vizuri nchi kadhaa saiv zina hadi ATM za bitcoin tena ni nchi tajiri na zenye nguvu ,wat do you think hizi changes wont effect hizi medium and small countries?
in some countries watu saiv hawatembei na fedha they only need their phones only,itakuja time they will only walk with their finger