Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

Bitcoin, hii ilinifanya nikawa nime data, na niliweza kupungua kilo nying San kwa mawazo ya kupoteza pesa yang ambay nilikuwa na malengo nayo ya kimaendeleo
Kwa kwel niliyumba baada ya kumining kwa scamer.
Sema nilipata kuona crip ya jack ma ndo iliyo niamsha kweny ngazi ya bitcoin na mpka leo nimekuwa risk taker tena wa hatari Sana, siwazi tena kupoteza na nipo mbion kurud kweny hii GAMES Maan bad ninazo bitcoin 0.0789 kweny localbiticoin
bado unazo? 0.0789×68,000
 
Me mwenyewe naumia sana, 2015 kuna mwamba alinishauri ninunue btc nikagoma, na hela nilikuwa nayo, yy akanunua 4 kwa 2k+ usd, anazo mpaka leo anasubiri btc igonge 100k usd ndo auze.
Nenda kwa kiboko ya wachawi atakusaidia.
 
Makirita Amani anadhani kusoma vitabu na kuwa kocha basi atakuwa saihi kwa kila angle.

Watu wana real experience,makirita amani ni kijana mdogo ambae anatakiwa awe kimya akijifunza maisha.

Sijui anatoa wapi ujasiri wa kuwa muongeaji,nadhani vitabu vinamdanganya.
 
Back
Top Bottom