Lantino melanto
Member
- Jun 5, 2022
- 80
- 118
Nakumbuka global alliance waliibuka enzi za JPM na watu wakatapeliwa labda mtoa post alikuwa hajazaliwaHuyo JPM ameingiaje hapo ilhali hayo majizi yameshika hatamu kuanzia enzi zake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka global alliance waliibuka enzi za JPM na watu wakatapeliwa labda mtoa post alikuwa hajazaliwaHuyo JPM ameingiaje hapo ilhali hayo majizi yameshika hatamu kuanzia enzi zake!
Ila nadhani hivi vyombo vya habari credible ndio vinaingiza watu mkenge zaidi angali Mr. Kuku na Kalynda wote wanatumia zile channels unazoziamini kukupiga.
Najua wanapata matangazo lakini pia wao wanajukumu la kufanya due diligence. Jamii inaviamini sana hivi vyombo.
Yes,kuna Branch,Umoja loan wote wanakopesha,ila umoja loan ni service charge yap ni kubwa sana, almost 35%Wenye kujua, kumezuka matangazo mengi kuhusu mikopo kwa njia ya simu. Je, wenye kujua hii mikopo ni kweli au ni utapeli tu?