Kila kwenye kundi la watu, Kuna mtu huniambia nafanana na mtu aliyewahi kumuona mahali au anayemfahamu

Kila kwenye kundi la watu, Kuna mtu huniambia nafanana na mtu aliyewahi kumuona mahali au anayemfahamu

Nyarupala

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
494
Reaction score
856
Ni matumaini yangu mpo salama kabisa.

Wakuu hii tabia ya kuwa kwenye kusanyiko lolote au unakutana na watu tofahuti Kila mara halafu wananambia nimefanana na mtu eidha aliyewahi kumuona au anayemfahamu imenichosha na naona kabisa inanikera.

Hivi Kuna mtu yeyote aliyewahi au anayekutana na hii Hali? Na anawezaje kujibu maswali ya; hivi unamfahamu fulani? Ni ndugu Yako? Syo ndugu Yako kivipi? Mbona mmefana sana?

Kuna wakati huwa nahisi mtu atafanya uhalifu halafu nifananishwe Mimi.

Hello, kama Kuna msaada tafadhali naombeni haya maswali wasiniulize Tena, yanachosha.
 
hyo hali ilinipata nikiwa Under 23 years. ila nlivofikisha miaka 25 ikapotea, watu wakawa hawanifananishi tena. kwa hyo na ww itakuja kupotea tu automatically.
 
hyo hali ilinipata nikiwa Under 23 years. ila nlivofikisha miaka 25 ikapotea, watu wakawa hawanifananishi tena. kwa hyo na ww itakuja kupotea tu automatically.
Niko na 30 saivi tangu Naingia secondary school mwaka 2010
 
Ilinitokea mlimani city,kuna mama alivoniona alikimbia, eti kuna ndugu yake alifariki tunafanana sana akajua ni yeye,ilikua 2012.
 
Ni matumaini yangu mpo salama kabisa.

Wakuu hii tabia ya kuwa kwenye kusanyiko lolote au unakutana na watu tofahuti Kila mara halafu wananambia nimefanana na mtu eidha aliyewahi kumuona au anayemfahamu imenichosha na naona kabisa inanikera.

Hivi Kuna mtu yeyote aliyewahi au anaekutana na hii Hali? Na anawezaje kujibu maswali ya; hivi unamfahamu fulani? Ni ndugu Yako? Syo ndugu Yako kivipi? Mbona mmefana sana?

Kuna wakati huwa nahisi mtu atafanya uhalifu halafu nifananishwe Mimi.

Hello, kama Kuna msaada tafadhali naombeni haya maswali wasiniulize Tena, yanachosha.
Nimekutana nayo sana hiyo situation
 
Ni matumaini yangu mpo salama kabisa.

Wakuu hii tabia ya kuwa kwenye kusanyiko lolote au unakutana na watu tofahuti Kila mara halafu wananambia nimefanana na mtu eidha aliyewahi kumuona au anayemfahamu imenichosha na naona kabisa inanikera.

Hivi Kuna mtu yeyote aliyewahi au anaekutana na hii Hali? Na anawezaje kujibu maswali ya; hivi unamfahamu fulani? Ni ndugu Yako? Syo ndugu Yako kivipi? Mbona mmefana sana?

Kuna wakati huwa nahisi mtu atafanya uhalifu halafu nifananishwe Mimi.

Hello, kama Kuna msaada tafadhali naombeni haya maswali wasiniulize Tena, yanachosha.
Au Marehemu.
 
😅😅😅 Niko serious, hii kitu Kuna siku itakuja nisababishia tatizo
Hiyo ni mbaya sana sometimes Kuna sehemu Fulani Kuna jamaa alifananishwa na mtu mwenye M PESA akidhaniwa kuwa ni mwizi aliyekuja kutapeli pale siku kadhaa nyuma, yule jamaa aliuwawa
 
Ni matumaini yangu mpo salama kabisa.

Wakuu hii tabia ya kuwa kwenye kusanyiko lolote au unakutana na watu tofahuti Kila mara halafu wananambia nimefanana na mtu eidha aliyewahi kumuona au anayemfahamu imenichosha na naona kabisa inanikera.

Hivi Kuna mtu yeyote aliyewahi au anaekutana na hii Hali? Na anawezaje kujibu maswali ya; hivi unamfahamu fulani? Ni ndugu Yako? Syo ndugu Yako kivipi? Mbona mmefana sana?

Kuna wakati huwa nahisi mtu atafanya uhalifu halafu nifananishwe Mimi.

Hello, kama Kuna msaada tafadhali naombeni haya maswali wasiniulize Tena, yanachosha.
Duniani hapa tunavadilishana vizazi ni wale wale
 
Hii hali ilinikuta dodoma mwaka jana nilipoenda maana kuna mtu akaanza kunisemesha kama anaongea na mtu anayemfahamu na nilikutana na watu watatu tofauti wananifananisha na huyo mtu...Pia nimekuwa nikikutana na watu wananiambia ninafana sana na mtu yuko moshi ..duuh
 
Ni matumaini yangu mpo salama kabisa.

Wakuu hii tabia ya kuwa kwenye kusanyiko lolote au unakutana na watu tofahuti Kila mara halafu wananambia nimefanana na mtu eidha aliyewahi kumuona au anayemfahamu imenichosha na naona kabisa inanikera.

Hivi Kuna mtu yeyote aliyewahi au anaekutana na hii Hali? Na anawezaje kujibu maswali ya; hivi unamfahamu fulani? Ni ndugu Yako? Syo ndugu Yako kivipi? Mbona mmefana sana?

Kuna wakati huwa nahisi mtu atafanya uhalifu halafu nifananishwe Mimi.

Hello, kama Kuna msaada tafadhali naombeni haya maswali wasiniulize Tena, yanachosha.
Utakuwa ni wale wenye sura za Yutong zile za mwanzo, nawe ni mmoja wapo.
 
Back
Top Bottom