Nyarupala
JF-Expert Member
- Jun 2, 2024
- 494
- 856
Ni matumaini yangu mpo salama kabisa.
Wakuu hii tabia ya kuwa kwenye kusanyiko lolote au unakutana na watu tofahuti Kila mara halafu wananambia nimefanana na mtu eidha aliyewahi kumuona au anayemfahamu imenichosha na naona kabisa inanikera.
Hivi Kuna mtu yeyote aliyewahi au anayekutana na hii Hali? Na anawezaje kujibu maswali ya; hivi unamfahamu fulani? Ni ndugu Yako? Syo ndugu Yako kivipi? Mbona mmefana sana?
Kuna wakati huwa nahisi mtu atafanya uhalifu halafu nifananishwe Mimi.
Hello, kama Kuna msaada tafadhali naombeni haya maswali wasiniulize Tena, yanachosha.
Wakuu hii tabia ya kuwa kwenye kusanyiko lolote au unakutana na watu tofahuti Kila mara halafu wananambia nimefanana na mtu eidha aliyewahi kumuona au anayemfahamu imenichosha na naona kabisa inanikera.
Hivi Kuna mtu yeyote aliyewahi au anayekutana na hii Hali? Na anawezaje kujibu maswali ya; hivi unamfahamu fulani? Ni ndugu Yako? Syo ndugu Yako kivipi? Mbona mmefana sana?
Kuna wakati huwa nahisi mtu atafanya uhalifu halafu nifananishwe Mimi.
Hello, kama Kuna msaada tafadhali naombeni haya maswali wasiniulize Tena, yanachosha.