Kila kwenye kundi la watu, Kuna mtu huniambia nafanana na mtu aliyewahi kumuona mahali au anayemfahamu

Kila kwenye kundi la watu, Kuna mtu huniambia nafanana na mtu aliyewahi kumuona mahali au anayemfahamu

Mim nimewahi nyimwa tunda kwamba nafanana na mjomba ake. Kwahiyo kufananiswa ni kawaida. Kuna mzee hapa nilipo anafanana copy na marehem babu yangu yani sura paka vimo kama pacha wake
 
Ni matumaini yangu mpo salama kabisa.

Wakuu hii tabia ya kuwa kwenye kusanyiko lolote au unakutana na watu tofahuti Kila mara halafu wananambia nimefanana na mtu eidha aliyewahi kumuona au anayemfahamu imenichosha na naona kabisa inanikera.

Hivi Kuna mtu yeyote aliyewahi au anayekutana na hii Hali? Na anawezaje kujibu maswali ya; hivi unamfahamu fulani? Ni ndugu Yako? Syo ndugu Yako kivipi? Mbona mmefana sana?

Kuna wakati huwa nahisi mtu atafanya uhalifu halafu nifananishwe Mimi.

Hello, kama Kuna msaada tafadhali naombeni haya maswali wasiniulize Tena, yanachosha.
Tuwekee picha tukuone pengine ni kweli..
 
Jana tu kuna watu walikuwa wananifananisha na mtu mwingine,binafsi sipendi kufananishwa na mtu mwingine ile hali iliniharibia mood.
 
Back
Top Bottom