Kila la heri Morocco team

Kila la heri Morocco team

Senegal yenyewe sikuishabikia sembuse Morocco
Anyway mara mia nishabikie wazungu kuliko waarabu

Chuki zitakumaliza nkoi bhabhaa😃, na soon nitaanzisha thread ya morocco(simba wa atlas) sijui utajisikiaje 😃
 
Chuki zitakumaliza nkoi bhabhaa😃, na soon nitaanzisha thread ya morocco(simba wa atlas) sijui utajisikiaje 😃
Anzisha nitakuja huko kupinga hayo mabaguzi ya rangi na dining
Ptuuuuuuuuuuuuuuh !!!!
 
Morocco to the semi😄

Mkuu, kuna watu wabaguzi duniani kama waafrika, japo sio wote! Wewe hapo umeshajionesha ni mbaguzi wa rangi
Mabaguzi ya dini hayooooooo
Mwisho wao j4 yatakapoliwa kichwa na mzungu .
 
Mabaguzi ya dini hayooooooo
Mwisho wao j4 yatakapoliwa kichwa na mzungu .

Dini imeingiaje tena!

Hii kasumba inatutesa sana, ya kujihisi ni watu wa kubaguliwa tu 😃
 
Dini imeingiaje tena!

Hii kasumba inatutesa sana, ya kujihisi ni watu wa kubaguliwa tu 😃
Hujui dini imeingiaje ?
Ushindi wao waliu dedicate kwa watu wa dini gani kwani?
Huwezi kuta wazungu wanafanya upuuzi huo.
Twenzetu France 🇫🇷!!!!!!
 
Hujui dini imeingiaje ?
Ushindi wao waliu dedicate kwa watu wa dini gani kwani?
Huwezi kuta wazungu wanafanya upuuzi huo.
Twenzetu France 🇫🇷!!!!!!

Kwanini umeichagua france? Kwakua ina weusi? Huwezi shawishi watu wakufuate unavyotaka wewe, kwanza nitakua mpumbavu nishabikie france na kuwaacha morocco, wanaume halisi na wala hawana chembe chembe za ushoga

Olenimala nkoi? Au niongee kichina unielewe!
 
Kwanini umeichagua france? Kwakua ina weusi? Huwezi shawishi watu wakufuate unavyotaka wewe, kwanza nitakua mpumbavu nishabikie france na kuwaacha morocco, wanaume halisi na wala hawana chembe chembe za ushoga

Olenimala nkoi? Au niongee kichina unielewe!
Hayo ya kusema watu weusi umesema wewe!
Nimesema France kwasababu ltacheza na Morocco soon
anyway Morocco hata ingecheza na nsyuka ningekuwa upande wa nsyuka sitaki unafiki.
Twenzetu beberu France 🇫🇷!!!!
 
Hivi ina make sense uwatenge morocco kisa ni waarabu!! Mbona haimake sense mjomba!! Ingelikua ndio ghana and Portugal ungekuja na huu ubaguzi!!!


God bless Moroccans
Shida sio kuwa waarabu, Shida ni maneno yao, Hata wagana wangekuwa na hizo pigo za kujitenga na kuwadharau waafrika wengine tungewatenga.
Aliyeanza ubaguzi ni Moroco na ndiye aliyetaka kujiunga na Ulaya.

Kwahyo kuendelea kujipendekeza kwa watu wsnaokubagua kama wewe unavyofanya, either wamekuoa au nawewe ni mwarabu, ila kama sio hizo basi wewe ni kichaa
 
Shida sio kuwa waarabu, Shida ni maneno yao, Hata wagana wangekuwa na hizo pigo za kujitenga na kuwadharau waafrika wengine tungewatenga.
Aliyeanza ubaguzi ni Moroco na ndiye aliyetaka kujiunga na Ulaya.

Kwahyo kuendelea kujipendekeza kwa watu wsnaokubagua kama wewe unavyofanya, either wamekuoa au nawewe ni mwarabu, ila kama sio hizo basi wewe ni kichaa
Umempiga nyundo ya kichwa
Akirudi ni tag!
 
And tha finaaaaalll Argentina will play against France freeeence 2_ and the morrocooo ,0 see you final and tha third winner.
 
Back
Top Bottom