Kila la heri Simba katika mchezo wa Leo, na hakika mtashinda

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Hii mtaani tusema
"Utaoga lakini mjini huendi"
Yaani Simba atashinda dhidi ya shoga aje Tabora United ila ubingwa atausilikizia redioni

Yanga mkakatu wetu ni kuwafanya mfurahi kipindi hiki ili muache lawama Kwa uwekezaji wa GSM na pia mmuache Mangungu na Mo wale keki Yao hapo Msimbazi

Tuna uhakika 100% kuwa mwisho wa msimu mtalia

Yanga bingwa
 
Simba bingwa msimu huu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…