Kila la heri Simba katika mchezo wa Leo, na hakika mtashinda

Mna misemo nyie Utopolo!

Kuoga mtaoga,Lkn mjini hamuendi..!

Nakumbuka hata group stage ya CAF, mlisemaga hivyo hivyo.....! Lkn waaapi Watu Waleeeeee...ndani ya Robo
 
Yanga mkakatu wetu ni kuwafanya mfurahi kipindi hiki ili muache lawama Kwa uwekezaji wa GSM na pia mmuache Mangungu na Mo wale keki Yao hapo Msimbazi🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…