Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Hamna kuna ushindi tulikuwa tunapata game za nyumbani unaona kabisa kama mambo hayajakaa sawa bado, nilishangaa kuona kimataifa tumefanya vizuri hasa hasa game za mwisho.Ndo kichaka chenu
Kataifa shirikisho ni kama UMISETA au UMITASHUMITA sio mashindano magumuHamna kuna ushindi tulikuwa tunapata game za nyumbani unaona kabisa kama mambo hayajakaa sawa bado, nilishangaa kuona kimataifa tumefanya vizuri hasa hasa game za mwisho.
Nampenda,ana mambo mengii,afu hataki kusaidiwa majukumu kabisaNdio ile unamuombea mshindani wako mafanikio mema
Yanga hii hii iliyoishia makundi au ni Yanga ya kunywa supu?Yanga bingwa
Yanga mkakatu wetu ni kuwafanya mfurahi kipindi hiki ili muache lawama Kwa uwekezaji wa GSM na pia mmuache Mangungu na Mo wale keki Yao hapo Msimbazi🤣🤣🤣Hii mtaani tusema
"Utaoga lakini mjini huendi"
Yaani Simba atashinda dhidi ya shoga aje Tabora United ila ubingwa atausilikizia redioni
Yanga mkakatu wetu ni kuwafanya mfurahi kipindi hiki ili muache lawama Kwa uwekezaji wa GSM na pia mmuache Mangungu na Mo wale keki Yao hapo Msimbazi
Tuna uhakika 100% kuwa mwisho wa msimu mtalia
Yanga bingwa
Pole kwa kupakatwa wewe na mtoa mada.mnyama anapakatwaa
Watu wamemaliza paketi nzima.Pole kwa kupakatwa wewe na mtoa mada.