Kila la heri timu ya Taifa, Taifa Stars

Kuna wakati timu inafungwa lakini unaridhika una kiwango. Kuna kitu kinatakiwa kufanyiwa kazi katika ligi yetu ya ndani hata kama ni miaka ishirini. Jana wachezaji hasa kipindi cha kwanza walishindwa kumiliki mpira, walitoa pasi tata, wapokea pasi walikia zubaifu, wengine walikiwa wanapoozesha kasi wakati umiliki mpira ni hafifu na hawakujiamini. Hayo na mengine yanarekebishika with time.
 
Mimi nakwambia ukweli. Magoli aliyofungwa Manula angeweza kuokoa. Nyie mteteeni lakini mjue ndo tunaliangamiza taifa.
Goli la kwanza mpira unapita vidoleni.
Goli la pili hata kuruka hajaruka anauangalia TU mpira.
Ndo maana nasema rudia kuangalia vizuri.
Mabeki washambuliaji na viungo vyote vilikuwa vibovu. Ila kipa nae alikuwa mbovu zaidi
Uliangali@ mechi braza...yawezekana ulicheki highlights
 
Mkuu Makene ahsante sana kwa ujumbe murua. Japo niliacha kushabikia hii timu sababu ya DAB, kwa bandiko hili na wito aliotoa Mh. Mbowe leo wacha niwe na Taifa Stars japo matokeo ni obvious.
Huyu ndiye aliyeharibu kila kitu!
 
Mnatufanyia hujuma sisi Wanzanzibar kuunda timu moja na nyie watu wa bara.
Tuacheni Zanzibar tuunde timu yetu na kushiriki kama sisi..
Zanzibar Heroes
 
Mnatufanyia hujuma sisi Wanzanzibar kuunda timu moja na nyie watu wa bara.
Tuacheni Zanzibar tuunde timu yetu na kushiriki kama sisi..
Zanzibar Heroes


Wewe ndio huna la kuongea kabisa. Huwezi kuunda timu kama huna nchi, kwanza mnahitaji kujitenga kutoka kwenye muungano la sivyo hizo unazoleta wewe ni porojo tu. Anyway, mambo ya siasa kaongee na CCM wenzio
 
Vp kuhusu aliyosave...mbona unasemea aliyofungwa tu..
 
sasa nyie mtacheza nini?
katika kikosi cha jana ulitaka atolewe nani nafasi yake apewe mzanzibar aliyeachwa?
Huyo fei toto wenu jana kapotea TU. Nyie mpira bado
Mnatufanyia hujuma sisi Wanzanzibar kuunda timu moja na nyie watu wa bara.
Tuacheni Zanzibar tuunde timu yetu na kushiriki kama sisi..
Zanzibar Heroes
 

Mkuu kashabikie Rede sio lazima ushabikie Mpira coz kwa Mtazamo wako magoli yote wanayofungwa makipa yanaweza kuokolewa pindi ukaapo kwenye TV na kupima uzito wa goli kupitia Solo motion ya TV yako.
 
haya endelea kumuwekea dhamana manula.
Mkuu kashabikie Rede sio lazima ushabikie Mpira coz kwa Mtazamo wako magoli yote wanayofungwa makipa yanaweza kuokolewa pindi ukaapo kwenye TV na kupima uzito wa goli kupitia Solo motion ya TV yako.
 
Mkuu kashabikie Rede sio lazima ushabikie Mpira coz kwa Mtazamo wako magoli yote wanayofungwa makipa yanaweza kuokolewa pindi ukaapo kwenye TV na kupima uzito wa goli kupitia Solo motion ya TV yako.
Halafu nilikukumbuka leo aisee Mtani.

Naona AFCON imekuibua. Kwa hali ile ya jana Mtani matumaini kwa Taifa Stars kwako yakoje?
 
Mnatufanyia hujuma sisi Wanzanzibar kuunda timu moja na nyie watu wa bara.
Tuacheni Zanzibar tuunde timu yetu na kushiriki kama sisi..
Zanzibar Heroes
Mmh! Mkuu jana uliona alichokifanya Fei Toto au sio Mzanzibar yule?

Mashindano ni makubwa yale Mkuu na Senegal si timu ya kubeza na hata wangekuwa hao Zanzibar heroes wangekaa tu.
 
Huyo diatta unayemuona amebebwa kutoka kijijini kwao Senegal sasahivi yupo ulaya anacheza wachezaji wote wa west Africa wanabebana wanapendana hata amunike Enzi zake
Unaelewa Senegal alitokaje au unafyatuka tu..
walifungwa na Colombia , wakatoka sare na Japan waliifunga poland
 
Huyo diatta unayemuona amebebwa kutoka kijijini kwao Senegal sasahivi yupo ulaya anacheza wachezaji wote wa west Africa wanabebana wanapendana hata amunike Enzi zake
walifungwa na Colombia , wakatoka sare na Japan waliifunga poland
Tuache masikhara Senegal anajua nadhani alifungana pointi na Japan akashindwa GD...hakutoka kirahisi huyu mtu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…