Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Kuepusha hisia za rohombaya nachukua nafasi hii kumtakia mtani wangu ushindi ..Akishinda Yanga ni sifa kwetu sote kama TaifaJamaa ndio wamenyanyuka wakiwa na bashasha na kujiamini at par. Wachezaji na Viongozi wako na morali ya juu sana wakiongozwa na kocha prof nabi
View attachment 2387521View attachment 2387522
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Lakini mitambo yako inaonesha kuna hata kaharufu ka ushindi huko Sudani au unawapa matumaini hewa?Kuepusha hisia za rohombaya nachukua nafasi hii kumtakia mtani wangu ushindi ..Akishinda Yanga ni sifa kwetu sote kama Taifa
Marehemu hasemwi kwa ubaya hadharani.πππππLakini mitambo yako inaonesha kuna hata kaharufu ka ushindi huko Sudani au unawapa matumaini hewa?
Hawa wakishinda kelele nyingi sana hawa wapigwe na wachakae kabisa na wazee wa halua halua wameshajiandaaa kabisa kumla mtuKuepusha hisia za rohombaya nachukua nafasi hii kumtakia mtani wangu ushindi ..Akishinda Yanga ni sifa kwetu sote kama Taifa
Maoni yako yanawafanya Yanga kutetemeka(siyo kutetema)kama yule mzee wa kwenye shairi la "Karudi baba mmoja"!Hawa wakishinda kelele nyingi sana hawa wapigwe na wachakae kabisa na wazee wa halua halua wameshajiandaaa kabisa kumla mtu
Hata marehemu hutamaniwa afufuke japo inajulikana wazi haiwezekaniLakini mitambo yako inaonesha kuna hata kaharufu ka ushindi huko Sudani au unawapa matumaini hewa?
HahahahMarehemu hasemwi kwa ubaya hadharani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au nasema uongo ndugu zangu?Hahahah
Au nasema uongo ndugu zangu?
Basi afadhali wafungwe kelele zipungue mitaaniHawa wakishinda kelele nyingi sana hawa wapigwe na wachakae kabisa na wazee wa halua halua wameshajiandaaa kabisa kumla mtu
Uwakaji(uwashwaji?)wa huo mshumaa ni kizunguzungu!Mosi,umewashwa sehemu mbili.Pili,unaendelea kutoa mwanga na joto kwa kuzunguka(kuzungushwa?).Tatu,yaonekana unajipooza kwa kuzunguka ili usiishe haraka kwa mwendo wa hiyari ishinde utumwa.ππππ
Huyu anaeitwa prof nabi, ivi ameandika andiko lolote ya kutetea huo uprofessor ? Au ni jina tu la kumkuza mmempa ?Jamaa ndio wamenyanyuka wakiwa na bashasha na kujiamini at par. Wachezaji na Viongozi wako na morali ya juu sana wakiongozwa na kocha prof nabi
View attachment 2387521View attachment 2387522
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
nasikia mzungu nae atakuj kuchez kdgJamaa ndio wamenyanyuka wakiwa na bashasha na kujiamini at par. Wachezaji na Viongozi wako na morali ya juu sana wakiongozwa na kocha prof nabi
View attachment 2387521View attachment 2387522
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Kuna mtu atakula si chini ya viwili[emoji1787]Uwakaji(uwashwaji?)wa huo mshumaa ni kizunguzungu!Mosi,umewashwa sehemu mbili.Pili,unaendelea kutoa mwanga na joto kwa kuzunguka(kuzungushwa?).Tatu,yaonekana unajipooza kwa kuzunguka ili usiishe haraka kwa mwendo wa hiyari ishinde utumwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]