Kila la kheri Taifa stars "dhahifu", dhidi ya timu bora kabisa ya Senegal

Kila la kheri Taifa stars "dhahifu", dhidi ya timu bora kabisa ya Senegal

Japo watu wengi husema mpira ni dakika 90, au mpira unadunda, lakini kuilinganisha Taifa stars na Senegal, ni ngumu sana kukubaliana na Maneno hayo.

Bahati mbaya sana, mashindano ya mpira sio kama ngumi, ambapo hawawezi kushindanisha bondia wenye uzito tofauti, kitendo cha kushindanisha Senegal ambayo ipo nafasi ya 22 duniani, na Tanzania nafasi ya 131 na kutegemea matokeo tofauti, ni lazima mtu awe na moyo wa mwendawazimu.

Yote kwa yote " Ukikubali kuolewa, pia ukubali kula bila nguo". Kila la kheri Taifa stars, tupo nyuma yenu, lolote litakalotokea, tumeshajiandaa kisaikolojia.

Lakini mkuu, naamini unajua kwenye Soccer ushindi kwa sehemu kubwa Ni Mindsets? Huu uzi wako what was the intention by the way?
Naziamini sana fikra zako komavu, Ila huu uzi naona kama una demoralize na kushusha ari na Morale,
Kuna vitimu vya ajabu huangusha timu kubwa duniani Sembuse senegal hawa waafrica?
Kwani wewe ulitegemea Zimbabwe wakewapa upinzani Egypt mbele ya Mashabiki zao? Au Burundi jana Dhidi ya Nigeria?
 
Lakini mkuu, naamini unajua kwenye Soccer ushindi kwa sehemu kubwa Ni Mindsets? Huu uzi wako what was the intention by the way?
Naziamini sana fikra zako komavu, Ila huu uzi naona kama una demoralize na kushusha ari na Morale,
Kuna vitimu vya ajabu huangusha timu kubwa duniani Sembuse senegal hawa waafrica?
Kwani wewe ulitegemea Zimbabwe wakewapa upinzani Egypt mbele ya Mashabiki zao? Au Burundi jana Dhidi ya Nigeria?
Kaka, ukisoma Uzi wangu vizuri, hasa pale mwisho, utaona nimeandika kwamba " Kila la kheri Taifa stars, lolote litakalotokea tupo tayari kulipokea, tumeshajiandaa kisaikolojia.

Mimi sio mwenye kuamini sana katika vitu vya kufikirika, hata Iran wajipe MOYO wa kiwango gani, lakini mtu yoyote yule mwenyekutumia " Rational thinking", akiulizwa kati ya USA na Iran wakipigana ni nchi gani ambayo kuna uwezekani itashinda hiyo vita, jibu lipo wazi kabisa. Hii haina maana kwamba USA wakiichokoza IRAN, basi Iran isijilinde.

Lengo kuu la uzi wangu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia, ili wasijekataa tamaa endapo matokeo yatakuwa mabaya sana, kifupi sana ninaweza kusema " Let's hope for the best, but also let's prepare for the worst ".

KILA LA KHERI TAIFA STARS, LOLOTE LITAKALOTOKEA, TUMESHAJIANDAA KISAIKOLOJIA.
 
Nimewajulisha jf coz lugha uliyotumia ni ya utovu wa nidhamu na unaporopoka siku nyingine jifunze kuwa na adabu wengine wazee wetu walishatangulia mbele ya haki huwezi just kuwatukana tu nikakuacha.ndio maana nikakwambia sijui kingetokea Nini Kama ungesema vile tukiwa wote.
Pole sana, ila siku nyingine jifunze kujibu kwa busara, ili kuepuka matatizo yasiyo ya lazima.
 
I don't care what you believe or think. Niki nyuma ya Tz I'll ikifika ni mechi ya Taifa vs Harambee nitakuwa nyuma ya Harambee.
Ningependa Kenya na Tz ziqualify round of 16
Good![emoji122][emoji122]
 
Kwa kweli tuombe tu Mungu hawajama squad yao nimeiangalia kwa kweli wametuacha mbali sanaView attachment 1135587
SADIO MANNE (senegal, Top scorer EPL 2019) gwiji wa liverpool hachezi leo..kwahivyo wako na ulemavu kwa ushambulizi..Taifa Stars wanaweza hii
Sadio-Mane-786210.jpg
 
Kaka, ukisoma Uzi wangu vizuri, hasa pale mwisho, utaona nimeandika kwamba " Kila la kheri Taifa stars, lolote litakalotokea tupo tayari kulipokea, tumeshajiandaa kisaikolojia.

Mimi sio mwenye kuamini sana katika vitu vya kufikirika, hata Iran wajipe MOYO wa kiwango gani, lakini mtu yoyote yule mwenyekutumia " Rational thinking", akiulizwa kati ya USA na Iran wakipigana ni nchi gani ambayo kuna uwezekani itashinda hiyo vita, jibu lipo wazi kabisa. Hii haina maana kwamba USA wakiichokoza IRAN, basi Iran isijilinde.

Lengo kuu la uzi wangu ni kuwaandaa watanzania kisaikolojia, ili wasijekataa tamaa endapo matokeo yatakuwa mabaya sana, kifupi sana ninaweza kusema " Let's hope for the best, but also let's prepare for the worst ".

KILA LA KHERI TAIFA STARS, LOLOTE LITAKALOTOKEA, TUMESHAJIANDAA KISAIKOLOJIA.
Hapo umekosea katika vita USA bila msaada wa marafiki zake hususani uingereza Isreal NATO nk hawezi kumpiga Iran kijeshi ila kuharibu mji ya Iran anaweza kwa kutumia ndege za kivita.....sasa hiyo huwezi ukuilinganisha na Taifa star na Senegal, team yetu ya Taifa star tumeikabidhi Allah kama, David alivo fanya mahajabu kwa Gorias...
 
Hapo umekosea katika vita USA bila msaada wa marafiki zake hususani uingereza Isreal NATO nk hawezi kumpiga Iran kijeshi ila kuharibu mji ya Iran anaweza kwa kutumia ndege za kivita.....sasa hiyo huwezi ukuilinganisha na Taifa star na Senegal, team yetu ya Taifa star tumeikabidhi Allah kama, David alivo fanya mahajabu kwa Gorias...
Hahahahaha, wewe hujui nguvu za kivita za USA, sasa sikia hii, hao wote uliowataja, yaani NATO + Israel + Iran, wakiungana pamoja, bado wanasambaratishwa na USA.
 
Ni Tanzania tu ndipo unapokuta raia wanafiki Kama wewe.hii timu ingekuwa ya Somalia pamoja na changamoto zote za kimaisha wanazopitia wangeungana kushangilia timu yao sio Kama hapa tz yaani watu ni wanafiki sijapata kuona!!!yaani wenzetu huko nje wanatushangaa Sana wanashindwa kuelewa sisi ni binadamu wa aina gani.
Watuelewe tu hivo hivo!! ndivo watawala wetu walivotaka tuwe, watawala wanakataza kwenda kuangalia wagonjwa like T.LISU!! itakuwa mpira????
 
Niko nyuma ya Tanzania...Jana nilishabikia Uganda wakashinda....ikifika Kenya vs Tanzania that's another story..but today I think Senegal watajiona favorite's kwa hii mechi, Tanzania watacheza na roho yao yote,watakuwa makini sana kwa sababu wanajua vile kikosi cha Senegal ikona wanachezaji wazuri..let's wait and see
 
Natamani kuiuinga mkono timu Yangu ila kila nikiona ilivyo "Political Affiliated" napata ugumu sana.
 
Soccer haina adabu , unaweza pata wamekuwa sare hadi dakika ya 86 , halafu Taifa Starts wapate penalty
 
I don't care what you believe or think. Niki nyuma ya Tz I'll ikifika ni mechi ya Taifa vs Harambee nitakuwa nyuma ya Harambee.
Ningependa Kenya na Tz ziqualify round of 16

Ahaaa haaa haaa
Wamepunguza probability kwa kuweka nchi mbili za East Africa kundi moja.
Wangeziweka makundi tofauti angalau ingekuwa nafuu.
 
Japo watu wengi husema mpira ni dakika 90, au mpira unadunda, lakini kuilinganisha Taifa stars na Senegal, ni ngumu sana kukubaliana na Maneno hayo.

Bahati mbaya sana, mashindano ya mpira sio kama ngumi, ambapo hawawezi kushindanisha bondia wenye uzito tofauti, kitendo cha kushindanisha Senegal ambayo ipo nafasi ya 22 duniani, na Tanzania nafasi ya 131 na kutegemea matokeo tofauti, ni lazima mtu awe na moyo wa mwendawazimu.

Yote kwa yote " Ukikubali kuolewa, pia ukubali kula bila nguo". Kila la kheri Taifa stars, tupo nyuma yenu, lolote litakalotokea, tumeshajiandaa kisaikolojia.

Mimi napingana na wewe waziwazi, mpira hauko kama hivyo unavyofikiri.
Kwenye mpira A > B na B > C,
hivyo A > C.

Kwenye kabumbu kitu chochote kinaweza kutokea, inaweza ikawa A < C.

Kama unakumbuka jinsi hiyo Senegal ilivyomuangusha bingwa mtetezi Ufaransa kwenye kombe la dunia la mwaka 2002.
 
Na pia ni njia moja ya kuhakikisha one of them itafuzu hio round ingine.
Ahaaa haaa haaa
Wamepunguza probability kwa kuweka nchi mbili za East Africa kundi moja.
Wangeziweka makundi tofauti angalau ingekuwa nafuu.
 
Mimi napingana na wewe waziwazi, mpira hauko kama hivyo unavyofikiri.
Kwenye mpira A > B na B > C,
hivyo A > C.

Kwenye kabumbu kitu chochote kinaweza kutokea, inaweza ikawa A < C.

Kama unakumbuka jinsi hiyo Senegal ilivyomuangusha bingwa mtetezi Ufaransa kwenye kombe la dunia la mwaka 2002.
Nathani umenielewa jinsi nilivyosema, utakua hutumii busara kama utaulizwa maswali yafuatayo na ukakosa kutoa jibu la uhakika,
1) Floyd My whether vs Hassan Mwakinyo
2) Simba SC vs Liverpool
3) Harambee stars vs Franch National team
4) Yanga vs Barcelona
5) Gormahia vs Real Madrid

Nina uhakika kama upo fair, hapa unayomajibu ya wazi kabisa, dunia itakushangaa sana ukianza kutumia hizo hesabu za A=B√D.

Pamoja na kwamba lolote linaweza kutokea katika Mpira, ila kama unaenda kucheza mchezo wa kutabiri, na umeweka pesa yako nyingi tu, kweli kati ya Taifa stars na Senegal utachagua Taifa stars?, kuwa mkweli kaka.
 
Back
Top Bottom