Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Hello wakaka na wadada…
leo naweka assumption...prove me wrong
Ukiona umeweka tangazo lako la kutafuta mume au mke
wale wanaokujia na 'kila la kheri'
ni singletons..!!!
Either,wanataka uwa notice au umekosa vigezo kiduchu ambacho ungekomaa nae angeweza kushusha na mkakubaliana..lol
Embu semeni ,je una mtu ?? ushawahi kusema 'kila la kheri' humu?? kipi kilichokusukuma kujibu hivyo?je hauna mtu/[partner na ushawahi kujibu 'kila la kheri' kwenye thread ya mdada/mkaka ?? nini kilikusukuma?
Lengo ni kuboresha mahusiano,
Maana wengine wanalalamika wameleta matangazo yao humu love connect bila matokeo mazuri,sasa leo tunawapa mbinu..mbadilishe viwanja vya kuwinda😀😀😀🙄🙄🙄🙄 sio msubiri PM tu
leo naweka assumption...prove me wrong
Ukiona umeweka tangazo lako la kutafuta mume au mke
wale wanaokujia na 'kila la kheri'
ni singletons..!!!
Either,wanataka uwa notice au umekosa vigezo kiduchu ambacho ungekomaa nae angeweza kushusha na mkakubaliana..lol
Embu semeni ,je una mtu ?? ushawahi kusema 'kila la kheri' humu?? kipi kilichokusukuma kujibu hivyo?je hauna mtu/[partner na ushawahi kujibu 'kila la kheri' kwenye thread ya mdada/mkaka ?? nini kilikusukuma?
Lengo ni kuboresha mahusiano,
Maana wengine wanalalamika wameleta matangazo yao humu love connect bila matokeo mazuri,sasa leo tunawapa mbinu..mbadilishe viwanja vya kuwinda😀😀😀🙄🙄🙄🙄 sio msubiri PM tu