Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Jana ATR nyingine imeua 69 kule Nepal. Hii ni ATR-72
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku nawaambia usafiri wa ndege ni salama kuliko usafiri wowote duniani.
Sasa wewe endelea kupanda nyehunge ufe ukatike miguu tutaishia kusema RIP.
Bora ufe kwa ndege familiya yako ilipwe wanao wasome kwa raha, sio unakufa kwa basi na ubahili wako bora ufe kwa ndege hata mwili usipo onekana familiya yako italipwa tu.
Wafiwa wa ndege hiyo wanalipwa, wanusurika wanalipwa, wewe endele kukomaa na nyehunge.
Sisemi kwamba basi hatupandi, hapana tunapanda pale inapolazimika kupanda, lakini mtu hela anayo anajikunja kwenye basi masaa 15 na hela anazo banki? Huo ni upuuzi.
Afu ajali za ndege zinatokea kwa nadra sana mpaka itokee nyingine hapa tz itapita miaka mingi sana.
Nikipataga ka pesa kangu siwezagi jibana mie.
Kwani tetemeko lilikatiwa bima kabla?Hela za Tetemeko wale wahanga walilipwa bei gani ?
Kama wanasema abilia chunga mzigo wako unadhan itakuwa rahis kulipa majeruhi.Sisi kwenye mabus mbona hatupati fidia? Au tunaonekana kama mifugo inapelekwa mnadani?
Ndege zote za abiria ni lazima ziwe na Life Insurance hivyo Bima ndio itafanya hizo compensation na kwa uelewa wangu hakuna bima inayolipa chini ya 20,000$ kwa mrithi wa marehemu.marehemu nao watafidiwa kiasi gani? kama kifuta machozi kwa waliondokewa na wapendwa wao? Ukizingatia wengine ndio walikuwa bread earners wa familia hizo