Kila manusura wa Precision kulipwa Sh. milioni 70

Kila manusura wa Precision kulipwa Sh. milioni 70

Kila siku nawaambia usafiri wa ndege ni salama kuliko usafiri wowote duniani.

Sasa wewe endelea kupanda nyehunge ufe ukatike miguu tutaishia kusema RIP.

Bora ufe kwa ndege familiya yako ilipwe wanao wasome kwa raha, sio unakufa kwa basi na ubahili wako bora ufe kwa ndege hata mwili usipo onekana familiya yako italipwa tu.
Wafiwa wa ndege hiyo wanalipwa, wanusurika wanalipwa, wewe endele kukomaa na nyehunge.

Sisemi kwamba basi hatupandi, hapana tunapanda pale inapolazimika kupanda, lakini mtu hela anayo anajikunja kwenye basi masaa 15 na hela anazo banki? Huo ni upuuzi.
Afu ajali za ndege zinatokea kwa nadra sana mpaka itokee nyingine hapa tz itapita miaka mingi sana.
Nikipataga ka pesa kangu siwezagi jibana mie.
 
Kuanzia leo naanza kupanda ndege hizi Neema sio za kuzikosa
 
marehemu nao watafidiwa kiasi gani? kama kifuta machozi kwa waliondokewa na wapendwa wao? Ukizingatia wengine ndio walikuwa bread earners wa familia hizo
Ndege zote za abiria ni lazima ziwe na Life Insurance hivyo Bima ndio itafanya hizo compensation na kwa uelewa wangu hakuna bima inayolipa chini ya 20,000$ kwa mrithi wa marehemu.

Wale ambao wapendwa wao wamefariki kwenye International flight huwa baada ya mazishi maisha hubalika chap
 
Back
Top Bottom