Kila siku nawaambia usafiri wa ndege ni salama kuliko usafiri wowote duniani.
Sasa wewe endelea kupanda nyehunge ufe ukatike miguu tutaishia kusema RIP.
Bora ufe kwa ndege familiya yako ilipwe wanao wasome kwa raha, sio unakufa kwa basi na ubahili wako bora ufe kwa ndege hata mwili usipo onekana familiya yako italipwa tu.
Wafiwa wa ndege hiyo wanalipwa, wanusurika wanalipwa, wewe endele kukomaa na nyehunge.
Sisemi kwamba basi hatupandi, hapana tunapanda pale inapolazimika kupanda, lakini mtu hela anayo anajikunja kwenye basi masaa 15 na hela anazo banki? Huo ni upuuzi.
Afu ajali za ndege zinatokea kwa nadra sana mpaka itokee nyingine hapa tz itapita miaka mingi sana.
Nikipataga ka pesa kangu siwezagi jibana mie.