Kila mauaji hushuhudiwa na macho matano

Upo Sahihi kabisa kaka mkuu kuna Channel moja naiangaliaga naipenda sana kwa ina jihusisha na mambo ya upelelezi yaan kusample zinachukuliwa hapo kwenye eneo la tukio mpk unajiuliza hiki ni nini sasa? Hata upigaji picha wanapiga kila details
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda kukawa na uhusiano kati ya macho matano na ,,,,,,,,,, ya tano ya mamlaka
 
Ni jicho moja lililobeba macho yote hayo hivi ni kweli na huku kwetu tunatumia haya macho sidhani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mihimili mitano? [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124]
Huenda kukawa na uhusiano kati ya macho matano na ,,,,,,,,,, ya tano ya mamlaka

Jr[emoji769]
 
Mihimili mitano? [emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji124][emoji124][emoji124]

Hhhhhhhhhhhhaaaa,,,,,
Hhhhhhhhhhhaaaaaa,,,, sijasema Mimi.na si kwamba nafurahia Ila kuna payment time,uzuri dunia ni duara.
 
Mmmh [emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote umenena mkuu hapo kwenye kazi nyingine ndio patakuwa pamebeba yote japo hujasema.alamsiki....[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…