Kila mchuma janga hula na wakwao kisa cha kijana mbishi!

Kupata Ukimwi ni kama ajari tu, kila siku watu wanakufa kwa ajari za barabaran lakin huwez kuacha kusafir, ni kumuomba Mungu tu tuwe na mwisho mwema na kila mtu anaitwa kwa njia yake. Huwez ukajiwekea guarantee kuwa utakufa kwa gonjwa lipi [emoji120][emoji120]
 
Somo sio kufa kwa ukimwi ni kupenda ganda la ndizi!
 
Mzee hii story inge make sense miaka ya 1999 kurudi nyuma.

Huku mtaani watu wenye ngoma ndio wana ng'aa na mvuto kuliko wazima wa afya waliokondeana kwa stress.

Kimsingi dogo atakuwa alipatwa na kansa, ukimwi ulisingiziwa tu. Ngoma siku hizi haikondeshi ndio maan hivi vitoto vya 2000 vinaukimbiza mwenge wa ngono bila shida yoyote na kwa uhakika.
 
Au sio
 
Wenye huu ugonjw wema ndo wale utaiona lkn hauli dem akikataa usifos San , ukut weny roho za kutu ndo kam huo mshangaz yn anakup umem kweup na methali juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…