MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Sawa kikubwa usiseme hapa nikivyopokea mshahara napotea nyumbani mpaka uishe ndiyo narudiAHAHAHAHHHAHAHAHA no comment!
na Pm siji in Zuchu's voice aahahahha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kikubwa usiseme hapa nikivyopokea mshahara napotea nyumbani mpaka uishe ndiyo narudiAHAHAHAHHHAHAHAHA no comment!
na Pm siji in Zuchu's voice aahahahha
AHAHAHAHAHHAA pole zake huyo Ex wako, sasa ukirudi zimeisha ndo mnakaa sasa kubi9shana hoja mkiwa bila nguo?Sawa kikubwa usiseme hapa nikivyopokea mshahara napotea nyumbani mpaka uishe ndiyo narudi
Anataka nijieleze kwa hoja na fakiti nilikuwa wapi na kwanini sikuaga na mshahara uko wapi ?AHAHAHAHAHHAA pole zake huyo Ex wako, sasa ukirudi zimeisha ndo mnakaa sasa kubi9shana hoja mkiwa bila nguo?
ahahahahahhaa
Ulifeli, sura na trako mjombaaa😂😂hawa sura za baba ndo wenywHuyu niliechagua kumuweka ndani bwana story anazoweza yeye ni za mapenzi, mapishi na na gossip kwa mbali.
Mengine yote haelewi, unaweza hata kumtumia picha ya kawaida ya meme na asipate ujumbe uliokusudiwa.
Nilipendea uzuri wa sura na umbo eeh ila department ya kichwani ni kama kuna shida, kuna muda nawawa naona kama ana zero IQ point vile, mana muda mwingine hata mwaswali anayoniuliza nacheka tu
Wakuu, there is more factors than love on marriage. Be wise.
Hawa wazuri wawe wa pembeni tu, akili iwe ndo kigezo kikubwa.
akirudi kwa X akikaa nae miezi 8 ataanza kusema mbaya hana shape 🤣Mkuu hpo hakuna ndoa Rudi tu Kwa Ex
Nafsi Yako ili kuhadaa pakubwa sana.
Pole sana, kuna kikubwa cha kujifunza hapa kwa vijana mnaotarajia kuoa. Mwenye sikio na asikieHuyu niliechagua kumuweka ndani bwana story anazoweza yeye ni za mapenzi, mapishi na na gossip kwa mbali.
Mengine yote haelewi, unaweza hata kumtumia picha ya kawaida ya meme na asipate ujumbe uliokusudiwa.
Nilipendea uzuri wa sura na umbo eeh ila department ya kichwani ni kama kuna shida, kuna muda nawawa naona kama ana zero IQ point vile, mana muda mwingine hata mwaswali anayoniuliza nacheka tu
Wakuu, there is more factors than love on marriage. Be wise.
Hawa wazuri wawe wa pembeni tu, akili iwe ndo kigezo kikubwa.