Kila mke wangu akifanya madudu, namkumbuka Ex wangu alikua na akili nikamuacha maana hakua mzuri

Kila mke wangu akifanya madudu, namkumbuka Ex wangu alikua na akili nikamuacha maana hakua mzuri

AHAHAHAHAHHAA pole zake huyo Ex wako, sasa ukirudi zimeisha ndo mnakaa sasa kubi9shana hoja mkiwa bila nguo?
ahahahahahhaa
Anataka nijieleze kwa hoja na fakiti nilikuwa wapi na kwanini sikuaga na mshahara uko wapi ?
Hapo masikini ya Mungu na nguvu za kiume zinaniishia ghafla
 
Huenda anahitaji marekebisho madogo tu ila wewe umeona ni tatizo kubwa,
kama anakuheshimu mwelekeze taratibu,
kuna shemej mmoja sikutarajia hata dukani kama Angekaa ni mpole saana
 
Huyu niliechagua kumuweka ndani bwana story anazoweza yeye ni za mapenzi, mapishi na na gossip kwa mbali.

Mengine yote haelewi, unaweza hata kumtumia picha ya kawaida ya meme na asipate ujumbe uliokusudiwa.

Nilipendea uzuri wa sura na umbo eeh ila department ya kichwani ni kama kuna shida, kuna muda nawawa naona kama ana zero IQ point vile, mana muda mwingine hata mwaswali anayoniuliza nacheka tu

Wakuu, there is more factors than love on marriage. Be wise.
Hawa wazuri wawe wa pembeni tu, akili iwe ndo kigezo kikubwa.
Ulifeli, sura na trako mjombaaa😂😂hawa sura za baba ndo wenyw
 
wanaume tuliambiwa tutapewa wasaidizi ila tunajichanganya badala ya kupatawasaidiizi sisi ndio tunageuka wasaidiizi
 
Huyu niliechagua kumuweka ndani bwana story anazoweza yeye ni za mapenzi, mapishi na na gossip kwa mbali.

Mengine yote haelewi, unaweza hata kumtumia picha ya kawaida ya meme na asipate ujumbe uliokusudiwa.

Nilipendea uzuri wa sura na umbo eeh ila department ya kichwani ni kama kuna shida, kuna muda nawawa naona kama ana zero IQ point vile, mana muda mwingine hata mwaswali anayoniuliza nacheka tu

Wakuu, there is more factors than love on marriage. Be wise.
Hawa wazuri wawe wa pembeni tu, akili iwe ndo kigezo kikubwa.
Pole sana, kuna kikubwa cha kujifunza hapa kwa vijana mnaotarajia kuoa. Mwenye sikio na asikie
 
Back
Top Bottom