Kila Mtanzania mwenye uchungu na elimu yetu aandamane Machi 25, 2013

nyie andamanen tuu ila akifa mtu tusisikie makelele, kwan hakuna njia nyingine za kupresent hzo idea zenu? Kuna data zipo zinaonyesha sahv uwezo wa waalim umeshuka sana tena waalim hawa wanaoajiriwa kwa wingi hv karbun ni kajanjaaa

acha ujuha unaweza kufanya kazi njaa huku unalala kwenye pango, wanafunzi mia na hamsini chumba kimoja huku wamekalia mawe, kitabu kimoja kwa wanafunzi 20...
 
Tangu umekariri neno kujitambua basi unajiona umemaliza kila kitu.



Ni kwel mkuu, tangu nilipojitambua nimemaliza vitu vingi lkn sio kila kitu. Nitamaliza kila kitu endapo na wewe utapata nafasi ya kujitambua.

Karibu cdm
 
Akili zako hazina tofauti na za kuku


Lakini si za kuku. Unacheza ngoma unayoijua ndo mana umeweza fikiri kila mtu ana iq km yako. Ndo kawaida hata ya kichaa kujiona ye ndiyo mzima na anaokutana nao ni vichaa.

Unahitaji deliverance uondolewe akili ya kuku uliyo nayo. Hiyo ndiyo inakufanya udhan na wengine wana akili km yako.

Pole sana mkuu.

karibu cdm
 
Jumatatu tutakwenda barabarani, Tunataka elimu bora Tanzania, kama wewe huoni madhara sawa. Ila wenye uchungu na Tanzania ya leo na Kesho tukutane kwenye maandamano ya Amani na mkutanoni.
 
Na Ndalichako anaye wananga vijana wetu kila baada ya mitihani naye mumng'oe wazee wa Maandamano
 
Tutajitokeza kwa wingi sana, hapa njombe wanafunzi 8'000 waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana 5,000 walipata sifuri,
kwakua hapa njombe hatujapata modality ya maandamano ya kesho tumeamua kwenda mbeya kujiunga na wenzetu, tutaondoka hapa saa 10 jioni, kuna magari ya kutosha na wengine waliondoka asubuhi kwa mabasi,
 
Kwani kuandamana Mara 1 Ndio elimu itaboreka....?
 

Tayari imeundwa tume kutafuta majibu ya maswali yako, kwanini tusiipe muda ifanye kazi, ije na majibu kisha ndio tufanye uamuzi? kuandamana bila kujua chanzo ni sawa na kufanya vurugu.
 
Waislam waliliona hilo mapema kumbe ila tuliwadharau na wengine hadi sasa wapo ndani. Wanaonewa ila kumbe nao huwa wanaona mbali sana ila sisi tunawadharau walipotaka necta ivunjwe tulkawaona wajinga sana.
Inabidi kama vipi chadema sasa waungane na waislam wafanye maandamano ya pamoja wao wawe mstari wa mbele
 
JINA HALISI: Philipo Augustino Mulugo
ELIMU: "FAILURE" Darasa la Saba, 1988
JINA FEKI: Hamimu Hassan
ELIMU: Darasa la Saba, 1989 (Baada ya kufeli mwaka 1988)
JINA FEKI: Hamimu Augustino
ELIMU: "O-Level" 1990~1993
JINA FEKI: Hamimu Mulugo
ELIMU: "A-Level" 1994~1996
JINA FEKI: Dick Aron Mulungu
KAZI: Mwalimu katika Shule ya Sekondari ya Southern Highlands. Hii ni baada ya kutumia vyeti vya rafiki yake aitwaye Dick Aron Mulungu ili kupata kazi ya ualimu. Pamoja na kutokuwa na cheti cha ualimu, aliteuliwa kuwa "headmaster" baada ya mmiliki wa shule hiyo kufariki.
LEO HII: Philipo Augustino Mulugo ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…