Kila mtu aandike kitu ambacho anaamini watu wengi hawakijui

Kila mtu aandike kitu ambacho anaamini watu wengi hawakijui

Screenshot_20221224-223909.jpg
 
Siku ukivaa hovyo hovyo usipo pendeza ndo unakutana na demu unae mzimia
Kama kwenu kuna ng'ombe basi utakutana nae ile siku uko na baiskel unatoka kukata majani, ilimradi tu uonekane huna maana.
 
Usiku ukiwa umelala minyoo huwa inatoka nje kupata hewa. .

Ila ukiwa na minyoo mingi huwa inatoka puani. Ukiona mtoto pia zote mbili Zina minyoo hapumui vizuri. Hakikisha unavuta mnyoo wa upande mmoja. Ukivuta wote wawili wakakatika unaweza is mtoto. Wakati mwingine anaweza kuwa kichwa kimetoka upande mmoja wa pua na mkia umetoka upande wa pili. .

Seen this with my own eyes. .
 
Back
Top Bottom