ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
JiweHii kauli kila nikiifikiria nacheka sana.inanisaidia pale ninapoamua kushit vitu fulani fulani mfano demu kaniomba hela namchana live kabisa hata simwogopi kwamba pambana na hali yako.sasa swali langu ni nani haswa muanzilishi au muasisi wa hii sentensi
Sent using Jamii Forums mobile app
Akuna cha Arusha wara kondoaHuu msemo unatumika Arusha toka 2014 ukawa maarufu sana mwaka jana labda baada ya huyo Young killer kuanza kuutumia!
Magufuri alizungumza haya maneno katika moja ya speech zake za mwanzo kabisa wakati anaanza uraisi miaka ya 2016......Hii kauli kila nikiifikiria nacheka sana.inanisaidia pale ninapoamua kushit vitu fulani fulani mfano demu kaniomba hela namchana live kabisa hata simwogopi kwamba pambana na hali yako.sasa swali langu ni nani haswa muanzilishi au muasisi wa hii sentensi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo, huu msemo aliutamka magufuri baada ya watu kusema hali ya maisha inakuwa ngumu, akasema kila mtu apambane na hali yake.....Huu msemo unatumika Arusha toka 2014 ukawa maarufu sana mwaka jana labda baada ya huyo Young killer kuanza kuutumia!
Kikufaacho kitumieHii kauli kila nikiifikiria nacheka sana.inanisaidia pale ninapoamua kushit vitu fulani fulani mfano demu kaniomba hela namchana live kabisa hata simwogopi kwamba pambana na hali yako.sasa swali langu ni nani haswa muanzilishi au muasisi wa hii sentensi
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo, huu msemo aliutamka magufuri baada ya watu kusema hali ya maisha inakuwa ngumu, akasema kila mtu apambane na hali yake.....
Sent using Jamii Forums mobile app