Kila mtu mpe mipaka katika kumuamini, usimuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika

Kila mtu mpe mipaka katika kumuamini, usimuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
Yawezekana unakonda na kukosa raha huku ukifikiria hivi kweli fulani ndio kanifanyia hivi? Jibu ni ndio huyo ni yeye halisi na wala hawamzingizii bali huo ndio uhalisia wake.

Kosa lipo kwako kumuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika, Ulimuamini zaidi ya jinsi alivyo ndio maana kafanya vile alivyo mbele ya uwezo wake kuaminika umebaki kushangaa.

Duniani huwezi kuishi bila kuamini mtu ila unaweza kuweka mipaka katika kuwaamini watu yaani kila mtu mpe mipaka yake na hili utaliweza kupitia uzoefu na jinsi unavyomsoma kila rafiki yako.

Usiamini kuwa hawezi kukusaliti hapo utakuwa umejitafutia kesi ya mauaji kwa sababu siku ukimfumania kama sio kujiua wewe basi utamuua yeye au vyote kwa pamoja na hilo ni sababu ulimuamini kiasi kwamba hukuona kama anaweza kukusaliti , ulimuamini zaidi ya uwezo wake kuaminika.

Kuna mtu unaweza kumuacha ndani kwako na ukakuta kila kitu ni salama ila kuna mwingine kosa tu kumuacha kuna mapungufu utayakuta ndani maana yake huyo umemuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika ilitakiwa umuamini ila mpaka wake uwe usiruhusu abaki ndani mwenyewe.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
 
Yawezekana unakonda na kukosa raha huku ukifikiria hivi kweli fulani ndio kanifanyia hivi? Jibu ni ndio huyo ni yeye halisi na wala hawamzingizii bali huo ndio uhalisia wake.

Kosa lipo kwako kumuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika, Ulimuamini zaidi ya jinsi alivyo ndio maana kafanya vile alivyo mbele ya uwezo wake kuaminika umebaki kushangaa.


Duniani huwezi kuishi bila kuamini mtu ila unaweza kuweka mipaka katika kuwaamini watu yaani kila mtu mpe mipaka yake na hili utaliweza kupitia uzoefu na jinsi unavyomsoma kila rafiki yako.

Usiamini kuwa hawezi kukusaliti hapo utakuwa umejitafutia kesi ya mauaji kwa sababu siku ukimfumania kama sio kujiua wewe basi utamuua yeye au vyote kwa pamoja na hilo ni sababu ulimuamini kiasi kwamba hukuona kama anaweza kukusaliti , ulimuamini zaidi ya uwezo wake kuaminika.


Kuna mtu unaweza kumuacha ndani kwako na ukakuta kila kitu ni salama ila kuna mwingine kosa tu kumuacha kuna mapungufu utayakuta ndani maana yake huyo umemuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika ilitakiwa umuamini ila mpaka wake uwe usiruhusu abaki ndani mwenyewe.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
Pole
 
Yawezekana unakonda na kukosa raha huku ukifikiria hivi kweli fulani ndio kanifanyia hivi? Jibu ni ndio huyo ni yeye halisi na wala hawamzingizii bali huo ndio uhalisia wake.

Kosa lipo kwako kumuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika, Ulimuamini zaidi ya jinsi alivyo ndio maana kafanya vile alivyo mbele ya uwezo wake kuaminika umebaki kushangaa.


Duniani huwezi kuishi bila kuamini mtu ila unaweza kuweka mipaka katika kuwaamini watu yaani kila mtu mpe mipaka yake na hili utaliweza kupitia uzoefu na jinsi unavyomsoma kila rafiki yako.

Usiamini kuwa hawezi kukusaliti hapo utakuwa umejitafutia kesi ya mauaji kwa sababu siku ukimfumania kama sio kujiua wewe basi utamuua yeye au vyote kwa pamoja na hilo ni sababu ulimuamini kiasi kwamba hukuona kama anaweza kukusaliti , ulimuamini zaidi ya uwezo wake kuaminika.


Kuna mtu unaweza kumuacha ndani kwako na ukakuta kila kitu ni salama ila kuna mwingine kosa tu kumuacha kuna mapungufu utayakuta ndani maana yake huyo umemuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika ilitakiwa umuamini ila mpaka wake uwe usiruhusu abaki ndani mwenyewe.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
Unashindwa kutoa mfano halisi, unaandika tu kama mshauri mkuu reference huna, teja kilicho kukuta kwanza ndo utowe maoni na ushauri wako.
 
Ulizaliwa mwenyewe unakuja dunia na kiherehere Cha kukumbatia watu.

Kilakitu kiasi
 
Yawezekana unakonda na kukosa raha huku ukifikiria hivi kweli fulani ndio kanifanyia hivi? Jibu ni ndio huyo ni yeye halisi na wala hawamzingizii bali huo ndio uhalisia wake.

Kosa lipo kwako kumuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika, Ulimuamini zaidi ya jinsi alivyo ndio maana kafanya vile alivyo mbele ya uwezo wake kuaminika umebaki kushangaa.

Duniani huwezi kuishi bila kuamini mtu ila unaweza kuweka mipaka katika kuwaamini watu yaani kila mtu mpe mipaka yake na hili utaliweza kupitia uzoefu na jinsi unavyomsoma kila rafiki yako.

Usiamini kuwa hawezi kukusaliti hapo utakuwa umejitafutia kesi ya mauaji kwa sababu siku ukimfumania kama sio kujiua wewe basi utamuua yeye au vyote kwa pamoja na hilo ni sababu ulimuamini kiasi kwamba hukuona kama anaweza kukusaliti , ulimuamini zaidi ya uwezo wake kuaminika.

Kuna mtu unaweza kumuacha ndani kwako na ukakuta kila kitu ni salama ila kuna mwingine kosa tu kumuacha kuna mapungufu utayakuta ndani maana yake huyo umemuamini zaidi ya anavyostahili kuaminika ilitakiwa umuamini ila mpaka wake uwe usiruhusu abaki ndani mwenyewe.

#Mwanasayansi Saul kalivubha
#Fikia Ndoto Zako
Baada ya kuja kuelewa watu, maisha na dunia vizuri nimeacha kumuamini kuanzia mupenzi mpaka mshikaji

kila mtu ana mipaka na siishi nje ya hapo......

Amani ya moyo ni muhimu sana

secretarybird pita hapa
Haya yote niliyaweza baada ya kujifunza kuwa msiri kwenye vitu vingi.
 
Back
Top Bottom